mayowela
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 2,125
- 1,753
Mtandao wa Bongo 5 nimekuwa nikiufatilia sana na ni moja ya mitandao ya muda mrefu hapa nchini unaomilikiwa na wanandoa wawili Lucas Neghest na Nancy Sumari.Wamiliki hawa walithubutu na wakaweza.
Mtandao huu ulienda mbele zaidi na kuanzisha Tuzo za Watu ambazo zilikuwa na mashiko na zenye thamani, lakini pia ulivutia zaidi baada ya kuongeza timu ya watu fanisi na wabunifu ambao ni Fredrick Bundala (skywalker) na Sandu George( kidbwoy) walileta vitu tofauti na ikawa tishio kwa wengine,
Fredrick Bundala akiwa muhariri wa mtandao huo alifanya anachostahiri na ukawa dozi ya wasomaji haipiti siku bila kuingia huko mmojawapo ikiwa mimi mpaka siku kukiwa hakuna habari mpya nahisi hawa jamaa wako off labda, na nilipenda ikanifanya nipende kazi ya uandishi
Sasa Bongo 5, kwa muda kama sikosei mwezi sasa naona kuna mabadiliko makubwa, ni kama tena habari hazihaririwi, michapio mingi sana, habari zinajirudia, heading na habari vitu viwili tofauti, Hii inamaanisha kuondoka kwa Fredrick Bundala ambae alikuwa anahariri habari kumewafanya myumbe..? na wengineneo
Jirekebisheni wasomaji wenu bado tuna matumaini na nyinyi.. Kazi njema
Mtandao huu ulienda mbele zaidi na kuanzisha Tuzo za Watu ambazo zilikuwa na mashiko na zenye thamani, lakini pia ulivutia zaidi baada ya kuongeza timu ya watu fanisi na wabunifu ambao ni Fredrick Bundala (skywalker) na Sandu George( kidbwoy) walileta vitu tofauti na ikawa tishio kwa wengine,
Fredrick Bundala akiwa muhariri wa mtandao huo alifanya anachostahiri na ukawa dozi ya wasomaji haipiti siku bila kuingia huko mmojawapo ikiwa mimi mpaka siku kukiwa hakuna habari mpya nahisi hawa jamaa wako off labda, na nilipenda ikanifanya nipende kazi ya uandishi
Sasa Bongo 5, kwa muda kama sikosei mwezi sasa naona kuna mabadiliko makubwa, ni kama tena habari hazihaririwi, michapio mingi sana, habari zinajirudia, heading na habari vitu viwili tofauti, Hii inamaanisha kuondoka kwa Fredrick Bundala ambae alikuwa anahariri habari kumewafanya myumbe..? na wengineneo
Jirekebisheni wasomaji wenu bado tuna matumaini na nyinyi.. Kazi njema