Bongo Celebrities ujanja ujanja wa BongoMovies msihusishe kwenye RealityShows mnazo..

Bongo Celebrities ujanja ujanja wa BongoMovies msihusishe kwenye RealityShows mnazo..

Ungezitaja ambazo aujaridhika nazo,na mapungufu yake ingekuwa mzuka sana....sasa hapa kwa mfano unaanzaje kubadilishana mawazo..
 
Mi nadhani jamaa anazungumzia shows kama za Jide (Diary) na Wema Sepetu (nini sijui on my Shoes). Kwamba badala ya kuonesha reality ya maisha yao kama dhumuni la kipindi, wao wanaigiza. Kwahiyo tunakua tunaangalia mchezo mwingine tena.
Ndio maana mwishoni kasema mbadilike wakina WS (nadhani akimaanisha Wema Sepetu).

Nilivoelewa Tu.

Cc: mwallu matumbo Heaven on earth
 
Last edited by a moderator:
Mi nadhani jamaa anazungumzia shows kama za Jide (Diary) na Wema Sepetu (nini sijui on my Shoes). Kwamba badala ya kuonesha reality ya maisha yao kama dhumuni la kipindi, wao wanaigiza. Kwahiyo tunakua tunaangalia mchezo mwingine tena.
Ndio maana mwishoni kasema mbadilike wakina WS (nadhani akimaanisha Wema Sepetu).

Nilivoelewa Tu.

Cc: mwallu matumbo Heaven on earth

asante kwa kunipa mwanga mkuu
 
Wee usithubutu kufananisha diary ya lady jaydee na uo uozo wa wema,jide anajitambua wewe, sijawah kusikia hat siku moja kujinadi kwenye show yake,uwa anazungumzia maisha yake halisi na muziki wake tu,got me??
 
Mastaa wa bongo baadh bado hawatambui wao n kina nan na hawawez kuhandle status walzo nazo n km zmewakuta tu.Sanaa tuifanyayo Tz hiwe music au maigzo ni ngumu kufka levo za kmataifa coz percent kubwa imetawaliwa na ujanja ujanja.Sahv kuna realty showz hapa kwetu za mastaa ila bado weng wao hawafaham maana ya realty showz hasa hawa wasanii wa BongoMovies,Et mtu anaigza tu na kurekod kisha anasema ndio realty life yake hiz showz hazihitaj maagzo knachotakiwa uhalsia ktu ambacho hata kwenye movies zetu za kbongo hamna.My take to Bongo Celebrities mjfunze maana ya realty showz ndpo mzlete co maigzo kutuonesha ngumi za uongo uongo kule mshafel na huku tena?Mbadilike kina WS

Ulikuwa umeshikwa na 'uharo' ulipokuwa unapost!? Haraka zote hizo za nini!?
 
wema juzi walikuwa wanaigiza kbsa jamaa jinga kweli
 
Back
Top Bottom