Bongo changamkieni nafasi hii

Tangu mlipowaacha waafrica wenzenu walipokua wanauliwa na wazungu kusini mwa Africa, ninyi mkawakumbatia wazungu kwa sababu za kiuchumi, hakuna nchi yoyote ya kiafrica itakayoiamini Kenya.
Kenya na Afrika Kusini aka Azania walipigana na wazungu sana kupata uhuru wao. Sisi hatukupewa uhuru kwa bakuli ya kifahari kama nyie.
 
Kenya na Afrika Kusini aka Azania walipigana na wazungu sana kupata uhuru wao. Sisi hatukupewa uhuru kwa bakuli ya kifahari kama nyie.
Mlipopata Uhuru mkawasaliti waafrica ambao walikua hawajajitawala sio?. Mozambique walipigana, walipopata Uhuru tu, siku hiyo hiyo wakaanza kuwasaidia Zimbabwe, Zimbabwe ilipopata Uhuru wakawasaidia Namibia, ninyi mlipopata Uhuru mkakaa meza moja na wazungu kuwakandamiza waafrica wengine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…