much know
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 11,461
- 17,183
Huoni Kama anajiita mkikuyu?Ivi wewe ni mkenya au mtz????? Jaluo au kikuyu..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni Kama anajiita mkikuyu?Ivi wewe ni mkenya au mtz????? Jaluo au kikuyu..
Kenya na Afrika Kusini aka Azania walipigana na wazungu sana kupata uhuru wao. Sisi hatukupewa uhuru kwa bakuli ya kifahari kama nyie.Tangu mlipowaacha waafrica wenzenu walipokua wanauliwa na wazungu kusini mwa Africa, ninyi mkawakumbatia wazungu kwa sababu za kiuchumi, hakuna nchi yoyote ya kiafrica itakayoiamini Kenya.
Mlipopata Uhuru mkawasaliti waafrica ambao walikua hawajajitawala sio?. Mozambique walipigana, walipopata Uhuru tu, siku hiyo hiyo wakaanza kuwasaidia Zimbabwe, Zimbabwe ilipopata Uhuru wakawasaidia Namibia, ninyi mlipopata Uhuru mkakaa meza moja na wazungu kuwakandamiza waafrica wengine.Kenya na Afrika Kusini aka Azania walipigana na wazungu sana kupata uhuru wao. Sisi hatukupewa uhuru kwa bakuli ya kifahari kama nyie.