Marioo anaimba nyimbo za vilio??Wanaosema rayvanny anaimba kwaya, kwan marioo naye kuimba anaona nn?
Marioo mwenyewe kakomaa na nyimbo za vilio, c aanzishe kikundi cha kufa na kuzikana wawe wanamwalika misibani?
We jamaa acha chuki dhiki ya Vann.Marioo anaimba nyimbo za vilio??
Unazijua;
✓Anyinya
✓Wow
✓Mama Amina
✓Beer Tamu
✓Tikisa
✓Wauwe
Acha utani wewe.
Niko aliko dada yako mkuu[emoji28]Pow shem niaje mkuu
Habari za wap now ndugu yangu
Niko aliko dada yako mkuu[emoji28]
We phaller unajua kila kitu, nikujie nini[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]dar kugumu kwa marioo?[emoji23][emoji23]
We phaller unajua kila kitu, nikujie nini[emoji16]
Umeshinda weweWew hujui rafiki zako wako wapi mkuu?
Umeshinda wewe
Kwahiyo rayvanny ni kwaya tu? Hizi je?Marioo anaimba nyimbo za vilio??
Unazijua;
✓Anyinya
✓Wow
✓Mama Amina
✓Beer Tamu
✓Tikisa
✓Wauwe
Acha utani wewe.
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Yule n ndugu yangu
Eti sisi tunaojua mziki, kitendo cha kufahamu kuwa watu wana different tests tu kinaonyesha hakuna ujuacho zaidi ya ushabiki.Diamond anaingiaje hapa?
Rayvanny ni msanii wa kawaida kuliko marioo huo ndio ukweli,
Tusubiri muda upi huo marioo ana mwaka wa ngapi anafanya muziki na tena hana management inayoeleweka anajisimamia mwenyewe tofauti na huyo mwengine anafanyiwa kila kitu na kina sallam.. Na bado kila siku anatoa maboko.
Utawaaminisha chawa wenzio tu sisi tunaojua muziki tunaona marioo ni bora na wala hawezi akapotea tayari ni msanii mkubwa, mlisema harmonize hatomaliza mwaka, kiko wapi?
Sina ushabiki na label bali ninafurahia nyimbo nzuri, kwa mtizamo wangu bado ni underground hivyo let's agree to disagree on the matter.Kumwita Marioo underground ni kuonyesha kiasi gani wewe ni wcb lialia..
Sasa na sisi tunasema Rayvanny na zile kwaya zake hamfikii huyo underground Marioo kwa muziki mzuri.
Hizo siyo nyimbo ni kelele zinazoumiza masikioKwahiyo rayvanny ni kwaya tu? Hizi je?
Tetema
Kelebe
Chombo
Makurusa
Mwanza
Zipo
Chuchumaa
Ukweli utabaki palepale... Marioo ana safari ndefu sana na ana vingi vya kujifunza ili amfikie mbosso kwanza kabla ya vanny boy
Wewe ndiyo unapaswa ukue kila mtu anakwambia unampinga,Eti sisi tunaojua mziki, kitendo cha kufahamu kuwa watu wana different tests tu kinaonyesha hakuna ujuacho zaidi ya ushabiki.
Aliyekwambia Marioo hana strong management ni nani? Au kwa kuwa hauwafahamu? Mtu aki'support usicho support wewe ndiyo anakuwa chawa? Grow up. Hao madogo wote zaidi ya muziki wao sitegemei kuja kuwafahamu personally ndiyo maana inatakiwa uje na arguments zenye facts na si blah blah za ushabiki mandazi.