Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Huwa watu kama wewe ninawapa sindano za uchungu haijalishi utaumia au lah it's not my business..Usinilishe maneno, wapi nimeandika mziki uko WCB tu, huwezi kumlazimisha mtu apende kitu ambacho si test yake.
Ukiona mtu ku support usichokikubali ni uchawa basi na wewe ku support unachokipenda na ukunguni to balance that stupid equation.
Probably uwezo wa kuelewa ninachokiandika hauna ndiyo maana hata swali unaliona kama ni proven statement.
All in all don't take these arguments personal, ni issues ambazo hazileti mkate mezani labda kwa walio kwenye music industry.
Mimi na wewe nani analazimisha kama sio wewe ulianza kwa kina Damian wamekwambia unawabishia..
Haya mataputapu unayoandika ndio kudai una akili ni bora watu tuwe wajinga kuliko kuwa na akili kama zako .
Mimi nasema rayvanny hana muziki mzuri kama marioo hutaki meza wembe..
Usilazimishe..