Bongo flava ya ukweli kuliko zote

Bongo flava ya ukweli kuliko zote

Kingdom_man

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2010
Posts
405
Reaction score
462
I just thought of sharing what it think is the most INCREDIBLE TUNE by Nikki wa Pili



Hii ngoma imetulia sana wasanii wote wa bongo wangekuwa na mistari mikali na video nzuri kama hizi wangekuwa mbali sana!
 
Last edited by a moderator:
Kwa US bongo fleva ninayoiona mara kwa mara kwenye TV ni "Kipi ni dhambi kwa mwenye dhiki" by XPLASTAZ.
Huonyeshwa mara kwa mara Link TV - World Music.
Wamarekani wengi ninaowafahamu huniambia hii nyimbo iko real deep!!
RIP Faza Nelly.
 
Naona unafanya promo, anyway, huyo dada kwenye chorus anaitwa nani?
 
Its one of the best Yes, and we can add
propaganda - FidQ
Ara-City - Fidy, G Nako
Mtazamo
Chemsha Bongo
Hili game
Pengo
Sikati tamaa - darasa
I am a playboy - Nick
darisalama - Chid Benz
maisha ya bongo - 20%
nk
 
..Kiukweli huwa nai-feel hii ngoma!!!..BUT sidhani kama ni nzuri kuliko any bongo flava
 
Beat imelandana na wimbo 1 wa Wu tang. Najaribu kukumbuka jina. nikikumbuka nitairusha tyubu yako (youtube)
 
Kwa US bongo fleva ninayoiona mara kwa mara kwenye TV ni "Kipi ni dhambi kwa mwenye dhiki" by XPLASTAZ.
Huonyeshwa mara kwa mara Link TV - World Music.
Wamarekani wengi ninaowafahamu huniambia hii nyimbo iko real deep!!
RIP Faza Nelly.

Mkuuu kweli wewe nimekukubali unaujua muziki wetu,Lile song ni balaa limesheheni ujumbe mzito kinoma,na linamafundisho kwa jamii yote bila kubagua KWA AMBAYE HAUJUI AUTAFUTE apate ujumbe,RIP FAZA NELLY.
 
Video bomba, Beat safi sana ila lyrics hazijanibamba kivileee
 
Back
Top Bottom