Habari zenu bana!haya leo napenda kuzungumzia hili swala la ulipaji kodi
Kwenye tasnia ya mziki tanzania.leo in particular BONGOFLAVA! Haya ikiwa wafanya biashara wadogowadogo wakikimbizwa,kulipishwa kodi kwa kipato chao cha shida na kazi ngumu wanazofanya.kwanini wanamuziki wa muziki ambao unaingiza pesa sana nchini hawalipishwi kodi na TRA?wanamziki wanapiga show pesa wanapeleka yote mfokoni na ndo maana wengi wanadharau makebei na lugha chafu kwa fans.hawana nidham ya pesa.nchi zilizoendelea tunaona mastar wakubwa wanaenda mpaka jail wakishindwa ku file taxes zao...me naona TRA ingeanza kabisa kukimbizana na hawa wana bongoflavas..wanaosema wana millon 800 ambayo haikulipiwa Kodi ya mapato.ikiwa wafanyakazi,wafanyabiashara,wewe mimi na yule tunalipa kodi zetu iwaje hawa watu wa entertainment wanapewa special treatment.
Bila kuwasahau bongo movies..team zao hapa zije ziseme kama kuna uthibitisho.
t
Kwenye tasnia ya mziki tanzania.leo in particular BONGOFLAVA! Haya ikiwa wafanya biashara wadogowadogo wakikimbizwa,kulipishwa kodi kwa kipato chao cha shida na kazi ngumu wanazofanya.kwanini wanamuziki wa muziki ambao unaingiza pesa sana nchini hawalipishwi kodi na TRA?wanamziki wanapiga show pesa wanapeleka yote mfokoni na ndo maana wengi wanadharau makebei na lugha chafu kwa fans.hawana nidham ya pesa.nchi zilizoendelea tunaona mastar wakubwa wanaenda mpaka jail wakishindwa ku file taxes zao...me naona TRA ingeanza kabisa kukimbizana na hawa wana bongoflavas..wanaosema wana millon 800 ambayo haikulipiwa Kodi ya mapato.ikiwa wafanyakazi,wafanyabiashara,wewe mimi na yule tunalipa kodi zetu iwaje hawa watu wa entertainment wanapewa special treatment.
Bila kuwasahau bongo movies..team zao hapa zije ziseme kama kuna uthibitisho.
t