niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Na ule Hesabu je wa Nikki?Jana nilikua namsikiliza mchizi mox. alitolea mfano wimbo wa weusi unaitwa tatizo bei ya mkaa.
Ukisikiliza mashairi na kiitikio hakuna uhusino wowote.
mashairi ya wimbo na kiitikio nimendika hapo chini.
Inabidi waka onge promo na kaligi haka si ndio somo wanawivu mpaka umezidi kikomo, dhidi ya,
weusi wale ni watu wa media.....
kiitikio
tatizo ni bei ya mkaa, bei ya mkaa.
Nyimbo zenye kasoro kama hizo, ni nyingi sana.
Ni tatizo Mkuu..inatakiwa Waingie gharama Studio..na wapunguze kutumia auto-tune Maana hata Mashairi hayasikiki.
hahaha sasa inakuaje mtu ambaye yupo kwenye field hiyo halafu asijue uwepo wa hayo maneno kwenye field yake? Ni sawa na mwalimu asijue kitu kinaitwa curriculumHayo maboresho uliyoyaandika nadhani ni producer na wanamuziki wachache sana wanayajua na wengi sana hawayajui.
Ninaposema hawajui namaaanisha hawajui maana ya hayo maneno au hata kuyatamka hawajui na wengine hawajui kama hizo mambo zipo kwenye wimbo.
Ni Kweli Mkuu kwa Wasanii ambao wana mikataba na Studio Producer anaweza Kulaumiwa kiasi..Ila Wasanii Wanatakiwa kutunga nyimbo zao makwao ,Mashairi pamoja na Chords ,Walimu wapo..Siyo kutungia nyimbo Studio.Sasa hiyo ni kazi ya producer kumpanga na kumpika msanii asiimbie utumbo...
Wasanii wengi wa bongo flavour hayo mambo uliyoyataja hawayajui...
MJ records na Bongo records wamejitahidi sana...
Cc: mahondaw
Ni Kweli Mkuu kwa Wasanii ambao wana mikataba na Studio Producer anaweza Kulaumiwa kiasi..Ila Wasanii Wanatakiwa kutunga nyimbo zao makwao ,Mashairi pamoja na Chords ,Walimu wapo..Siyo kutungia nyimbo Studio.