niachiemimi
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 3,606
- 5,295
Jana nilikua namsikiliza mchizi mox. alitolea mfano wimbo wa weusi unaitwa tatizo bei ya mkaa.
Ukisikiliza mashairi na kiitikio hakuna uhusino wowote.
mashairi ya wimbo na kiitikio nimendika hapo chini.
Inabidi waka onge promo na kaligi haka si ndio somo wanawivu mpaka umezidi kikomo, dhidi ya,
weusi wale ni watu wa media.....
kiitikio
tatizo ni bei ya mkaa, bei ya mkaa.
Nyimbo zenye kasoro kama hizo, ni nyingi sana.
Ukisikiliza mashairi na kiitikio hakuna uhusino wowote.
mashairi ya wimbo na kiitikio nimendika hapo chini.
Inabidi waka onge promo na kaligi haka si ndio somo wanawivu mpaka umezidi kikomo, dhidi ya,
weusi wale ni watu wa media.....
kiitikio
tatizo ni bei ya mkaa, bei ya mkaa.
Nyimbo zenye kasoro kama hizo, ni nyingi sana.