prs
JF-Expert Member
- Feb 22, 2013
- 2,642
- 3,373
Salam Wakuu,
Napenda kutoa Ushauri kwa Wasanii wa Bongo fleva ,Ni Wazi kwa Sasa video zina quality na soko Wamelikamata,Ila Kwenye upande wa Music bado..
Sijui uoga unatoka wapi wakati wana Mashabiki wa kutosha ndani na Nje ya Nchi.
Kuna wakati nilimuona Diamond akijifunza guitar ilikua ni jambo zuri sana.
Mimi binafsi ninauwezo mzuri kwenye guitar sababu nimesomea pamoja na Piano niko grade 6 hivyo naujua Mziki ingawa sifanyi kwenye Majukwaa.
Maboresho
Kwanza Kabisa ni Mpangilio wa Nyimbo
-intro
-verse
-pre-chorus
-chorus
-solo
-2nd verse
-chorus 2x
-outro
Angalau mkianza kwa Mtiririko huu itakua ni hatua Moja mbele kuliko hivi Sasa.
Kwenye upande wa chords Mnatumia Major &minor tu..ndiyo Maana nyimbo zenu zinafanana..
chords
Bongo fleva ili muimbaji aweze kuimba kwa uhuru zaidi anahitaji chords tamu.
Badala ya Major &Minor tumieni
Major 7
Minor 7 or 9
Sus 4
Sus 2
Major/minor 6
Hizi zote zinapendezesha Bongo fleva..Ingekua Jazz unaweza kutumia dim,Aug au 13..nk
Mkiboresha Music na Uimbaji wenu Utakua wa Ushindani Kimataifa.
Ahsanteni kama Mtafanyia Kazi.
Napenda kutoa Ushauri kwa Wasanii wa Bongo fleva ,Ni Wazi kwa Sasa video zina quality na soko Wamelikamata,Ila Kwenye upande wa Music bado..
Sijui uoga unatoka wapi wakati wana Mashabiki wa kutosha ndani na Nje ya Nchi.
Kuna wakati nilimuona Diamond akijifunza guitar ilikua ni jambo zuri sana.
Mimi binafsi ninauwezo mzuri kwenye guitar sababu nimesomea pamoja na Piano niko grade 6 hivyo naujua Mziki ingawa sifanyi kwenye Majukwaa.
Maboresho
Kwanza Kabisa ni Mpangilio wa Nyimbo
-intro
-verse
-pre-chorus
-chorus
-solo
-2nd verse
-chorus 2x
-outro
Angalau mkianza kwa Mtiririko huu itakua ni hatua Moja mbele kuliko hivi Sasa.
Kwenye upande wa chords Mnatumia Major &minor tu..ndiyo Maana nyimbo zenu zinafanana..
chords
Bongo fleva ili muimbaji aweze kuimba kwa uhuru zaidi anahitaji chords tamu.
Badala ya Major &Minor tumieni
Major 7
Minor 7 or 9
Sus 4
Sus 2
Major/minor 6
Hizi zote zinapendezesha Bongo fleva..Ingekua Jazz unaweza kutumia dim,Aug au 13..nk
Mkiboresha Music na Uimbaji wenu Utakua wa Ushindani Kimataifa.
Ahsanteni kama Mtafanyia Kazi.