kuna msanii mkubwa nisingependa kumtaja tulimuita marekan kapiga show tano tulimpa dolla 1500 tu. alishukuru sana sababu ndio ilikuwa mara ya kwanza kufika marekan
Hahaha dimpoz inabid akaogee maji ya mchele kwasababu WATZ wamekua wakimchukia kinoma hata akikosea kidogo mf; KICHUPA cha ME & U watu full kumtukana na hapa juz kuhusu NGWEA ndo balaaa me naona HUYU atakufa kwa STRESS ZA KUCHUKIWA sio za umaskini
kuna msanii mkubwa nisingependa kumtaja tulimuita marekan kapiga show tano tulimpa dolla 1500 tu. alishukuru sana sababu ndio ilikuwa mara ya kwanza kufika marekan