- Thread starter
- #21
kuna msanii mkubwa nisingependa kumtaja tulimuita marekan kapiga show tano tulimpa dolla 1500 tu. alishukuru sana sababu ndio ilikuwa mara ya kwanza kufika marekan
mmmh noma kweli iyo afu utasikia et anakuambia nilienda kufanya TOUR yangu uko ABROAD.