rosemarie JF-Expert Member Joined Mar 22, 2011 Posts 6,887 Reaction score 3,420 Jun 4, 2011 #1 nyie mbona miziki yenu inachuja haraka kama shati la mchina?acheni mambo ya ajabu,,zilipendwa moto juuuuu
nyie mbona miziki yenu inachuja haraka kama shati la mchina?acheni mambo ya ajabu,,zilipendwa moto juuuuu
BONGOLALA JF-Expert Member Joined Sep 14, 2009 Posts 16,508 Reaction score 11,897 Jun 4, 2011 #2 bongo fleva haina uhalisia wa muziki,haina ngoma,gitaa,tarumbeta!jay dee anadumu kwa kua ana bendi
Dena Amsi R I P Joined Aug 17, 2010 Posts 13,080 Reaction score 4,273 Jun 5, 2011 #3 Zinachakachuliwa mno mpaka zinapoteza maana