bongo fleva mnachuja haraka sana

bongo fleva mnachuja haraka sana

rosemarie

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2011
Posts
6,887
Reaction score
3,420
nyie mbona miziki yenu inachuja haraka kama shati la mchina?acheni mambo ya ajabu,,zilipendwa moto juuuuu
 
bongo fleva haina uhalisia wa muziki,haina ngoma,gitaa,tarumbeta!jay dee anadumu kwa kua ana bendi
 
Back
Top Bottom