Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,325
- 7,807
Mganga ni agent kati yako na shetani ata yeye akitaka utajiri anafuata masharti wapo waganga matajiri wapo wengi tu ata mume wa zari alikuwa mgangaHao waganga mbona wao wanashindwa kutumia huo uganga wao kuwa na maisha bora?
Au hao waganga ni kina nani?
Je ni waganga hawahawa wa kibongo bongo wenye maisha ya kuunga unga?
mimtu ni mijinga ndio maana unapigwa pesa na akina nabii nani sijui..🤣Mimi nakataa kabisa hii dhana.
Yani kama maisha yangekuwa rahisi hivyo, Kwamba ukishaliwa tigo tu unafanikiwa automatically.
Mashoga wengi sana waliojazana sinza, kinondoni, Zanzibar n.k wangesha kuwa matajiri wakubwa.
Lakini sivyo, Hata hao mashoga wanaoliwa tigo bado maisha yao ni ya kuunga unga.
Hakuna uchawi, ushirikina, kuliwa tigo kunako mfanya tu awe maarufu au tajiri.
Hizi ni dhana za waafrika hasa watanzania wapumbavu wanao karirishana ujinga.
Maisha si rahisi kihivyo. Kwamba uliwe tigo tu, paaap! uomoke uwe maarufu au tajiri..!!
Never..!!!
Issue ni connection mkuu, unaweza ukatoa ndogo na bado ukaendelea kula msoto.Mimi nakataa kabisa hii dhana.
Yani kama maisha yangekuwa rahisi hivyo, Kwamba ukishaliwa tigo tu unafanikiwa automatically.
Mashoga wengi sana waliojazana sinza, kinondoni, Zanzibar n.k wangesha kuwa matajiri wakubwa.
Lakini sivyo, Hata hao mashoga wanaoliwa tigo bado maisha yao ni ya kuunga unga.
Hakuna uchawi, ushirikina, kuliwa tigo kunako mfanya tu awe maarufu au tajiri.
Hizi ni dhana za waafrika hasa watanzania wapumbavu wanao karirishana ujinga.
Maisha si rahisi kihivyo. Kwamba uliwe tigo tu, paaap! uomoke uwe maarufu au tajiri..!!
Never..!!!
Hakuna maisha rahisi hivyo.Sio chai huo ndio ukweli Mungu hawezi kuonekana kwenye uchafu wa muziki wa kidunia Kuna sadaka wanazitoa Hawa madogo sio kazi rahisi kuona kijana mdogo anamiliki mali nyingi hivyo wanazomiliki Hawa vijana wa bongofleva
Nani anipe chapati [emoji53][emoji1787]mbona kama chai
Kama ni swala la connection sawa.Issue ni connection mkuu, unaweza ukatoa ndogo na bado ukaendelea kula msoto.
Mkuu kusema ukweli sijawahi kuelewa maana ya chai naomba unipe maana yake unayomaanishaga mkiandika hivo 😂😂mbona kama chai
Watanzania wana nadharia za kijinga sana.mimtu ni mijinga ndio maana unapigwa pesa na akina nabii nani sijui..🤣
Kwani waalimu wanaofundisha kuhusu business huwa na business kubwa kuliko wanafunzi waoHao waganga mbona wao wanashindwa kutumia huo uganga wao kuwa na maisha bora?
Au hao waganga ni kina nani?
Je ni waganga hawahawa wa kibongo bongo wenye maisha ya kuunga unga?
Mimi nakataa kabisa hii dhana.
Yani kama maisha yangekuwa rahisi hivyo, Kwamba ukishaliwa tigo tu unafanikiwa automatically.
Mashoga wengi sana waliojazana sinza, kinondoni, Zanzibar n.k wangesha kuwa matajiri wakubwa.
Lakini sivyo, Hata hao mashoga wanaoliwa tigo bado maisha yao ni ya kuunga unga.
Hakuna uchawi, ushirikina, kuliwa tigo kunako mfanya tu awe maarufu au tajiri.
Hizi ni dhana za waafrika hasa watanzania wapumbavu wanao karirishana ujinga.
Maisha si rahisi kihivyo. Kwamba uliwe tigo tu, paaap! uomoke uwe maarufu au tajiri..!!
Never..!!!
Chai maana yake ni kamba/stori ya uongo mkuu.Mkuu kusema ukweli sijawahi kuelewa maana ya chai naomba unipe maana yake unayomaanishaga mkiandika hivo 😂😂
Anhaaa nmeupata chiefChai maana yake ni kamba/stori ya uongo mkuu.
Sasa hapo ni tamaa za mhusika mwenyewe kukubali au kukataa.Maji ya afya mtaani yanauzwa hadi jero Ila kuna hotels zinauza hadi 5000
Wakati kuna wanawake wanajiuza kimboka kwa 3000 , kuna wanawake wanacharge hadi 500k kwa usiku mmoja
Wakati kuna wanawake wanahongwa 30k kwa masimango, kuna wengine wanajengewa nyumba na kupewa vacation sehemu yoyote wanayotaka duniani.
Kiufupi dunia haiendi kama ulivyoandika. Kila kitu kinategemeana na mnunuzi, mnunuliwaji na location.
Tajiri anaemtaka msanii au mtu yoyote ataenda kwa offer kubwa kulingana na thamani ya mtu husika. So usishangae mtu kupewa high life kwa kuwa king'asti wa jimama au wa mwanaume mwenzake.
Ndio mambo ya mjini mkuu
Watakuja kukupatia pole kwa kuliwa Tigo wakidai hili povu lote si bure...🤭uzwazwa tu sasa kuliwa tigo kuna uhusiano gani nakufanikiwa..? wabongo wengi akili ni hakuna mtu anabebwa nakipaji chake,utiifu,umakini na jitihada.
ushirikina ni dhana potofu mno lkn kuna vijinga bado vimeshikilia ushirikina!.. huo ushirikina ulishamsaidia nini muafrika mpk akizidi maendeleo wazungu..?
waafrika tumekaa kizembe sana!.
Kaka mm sa nikudanganye ili iwe nini .naongea kwa kujiamini 100%uzwazwa tu sasa kuliwa tigo kuna uhusiano gani nakufanikiwa..? wabongo wengi akili ni hakuna mtu anabebwa nakipaji chake,utiifu,umakini na jitihada.
ushirikina ni dhana potofu mno lkn kuna vijinga bado vimeshikilia ushirikina!.. huo ushirikina ulishamsaidia nini muafrika mpk akizidi maendeleo wazungu..?
waafrika tumekaa kizembe sana!.