Bongo kila kitu kinawezekana, Mandonga kawa maarufu kuliko hata Shabani Kaoneka ambaye ndiye bingwa

Labda wewe ndo umekuja kumjua baada ya kupigana na mandonga,Mwakinyo alipigwa na huyu mwamba..alitangaza kustaafu baada ya kupigwa na kidunda.
Hv hili pambano la Mwakwinyo na huyu Kaoneka lilikua mwaka gan ....sikuwahi kufaham hapo kabla
 
Labda wewe ndo umekuja kumjua baada ya kupigana na mandonga,Mwakinyo alipigwa na huyu mwamba..alitangaza kustaafu baada ya kupigwa na kidunda.
Hv hili pambano la Mwakwinyo na huyu Kaoneka lilikua mwaka gan ....sikuwahi kufaham hapo kabla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…