Hawa wamezidi basi wanashindwa kuweka kibao cha for whites only.Haya maduka ukiingia mzawa unaangaliwa kama mwizi na hasa hivi vidada vinakera sana.
Bongo kunakeraa ukitaka heshima
1:Kuwa na Kitambi
2:Ongea kingereza
3:Kuwa mweupe(white man)
Mr. Price Nguo ya 150,000 yaani zaidi ya Rand 1000 (tena ya kike) du labda bongo, lakini in SA sidhani kama kuna nguo ya bei hiyo kwa Mr Price
Sasa hizo shopping malls za nini bongo kama mambo yenyewe ndio kama haya!?
Hivi wadau niambieni kwanza ukiwa na card ya VISA mfano kutoka U.K na hiyo card yako ndani inahela unaweza kuitumia hata bongo kuchukua hela zako kama kawaida????au inakuwaje hapo????
ndugu yangu,Sasa hizo shopping malls za nini bongo kama mambo yenyewe ndio kama haya!?
Kama alivyokwambia Capitol, mimi hutoa shilingi mara zote nikienda nyumbani kwenye cash point yoyote ile kutumia Visa debit card yangu, huwa benki yangu (Barclays UK) wananikata £2.50 kwa kwa kila transaction, ila kwa kutumia kadi dukani Bongo sijawahi.Hivi wadau niambieni kwanza ukiwa na card ya VISA mfano kutoka U.K na hiyo card yako ndani inahela unaweza kuitumia hata bongo kuchukua hela zako kama kawaida????au inakuwaje hapo????
Hawa wamezidi basi wanashindwa kuweka kibao cha for whites only.Haya maduka ukiingia mzawa unaangaliwa kama mwizi na hasa hivi vidada vinakera sana.
Bongo kunakeraa ukitaka heshima
1:Kuwa na Kitambi
2:Ongea kingereza
3:Kuwa mweupe(white man)
Unaweza kuitumia kama debit card yako yenye logo ya VISA na ku withdraw hela kutoka kwenye ATM nyingi tu nchini sasa hivi. Nafikiri sasa hivi most Banks zote zina networks ambazo zinaruhusu transactions za accounts za nje. Mwaka jana ilikuwa ni benki za kigeni (Barclays, Stanbic, na Standard Chartered) among others. Kuna limit ya kiasi gani uta withdraw kwa siku. Mimi nilichargiwa fees za aina mbili. Moja ya Barclays, kwa kutumia machine yao, na ya pili, Wells Fargo wakani charge kwa ku transfer hela lakini ilikuwa ni very minimal. Na fedha utazipata in Tanzanian shilling. I hope this information helps kiasi.
Kama alivyokwambia Capitol, mimi hutoa shilingi mara zote nikienda nyumbani kwenye cash point yoyote ile kutumia Visa debit card yangu, huwa benki yangu (Barclays UK) wananikata £2.50 kwa kwa kila transaction, ila kwa kutumia kadi dukani Bongo sijawahi.
kote kote yapo mwenzangu ... mimi ndugu yangu yalinikuta sokoni .. yote kwaajili ya kiranga cha mwanangu cha kupenda zabibu .. basi nikaenda pale buguruni kuzinunua .. kufika meza moja nikakuta mwenye meza anapigastory na rafiki yake .. nikauliza zabibu bei gani .. nikaona kimya .. nikauliza tena .. yule jamaa akamgusa mwenzie akaambiwa unamteja ... akamwambia nimemsikia vizuri .. aaah achana nae .. bei ataiweza anazuga tu ... nilihamaki nikasimama pembeni nikajiuliza kwanini kanidharau kiasi kile .. sikukubali nikazunguka tena baada kama dakika kumi nikarudi palepale nikamuuliza bei akaniambia .. nikamwambia sinunui kwako kwani mwanzo ulinidharau sasa nanunua kwa mwenzio .. basi kwa hasira nilinunua kama sina akili nzuri .. kapu tele japo budget yangu ilivurugika sikujali nilihakikisha namkomesha kwa makusudi kila baada siku chache naenda meza jirani nanunua kwa mbwembwe .. mpaka leo ananiheshimu
Sasa kiburi chao wanakosa midola ya dada Chemi, lol. Na mbaya zaidi reputation inadondoka, wao wanaweza kuona kumkatalia huyu dada ni kumtoa nyodo kumbe yeye angeweza kuwaambia washkaji zake kuwa kuna duka zuri na kuzidisha market yao.
Kazi tunayo sana.
Basi watanitambua,
Nitaweka marapurapu kwenye nguo zangu upande wa tumbo ili nionekane nina kitambi. Halafu nitajipaka unga wa ngano usoni nionekane mweupe. Halafu nitakuwa ninafoka kiingereza kile che Shakespeare tu.
Je kwa hatua hizo nitapewa heshima hapo Mlimani City?
Point. Niliwahi kufika pale na mtoto wangu ameshika chupa ya maji ambayo alikuwa ameishakunywa nusu. Nikaambiwa haturuhusiwi kuingia nayo ati tunaweza kubadilisha na kuchukua nyingine iliyojaa!!!! #%@^&%#!!! wakati tunabishana wakapita wazungu wakiwa na 'magunia' yao mgongoni, nikawauliza wale askari mbona hawa hawazuiwi wakajibu ati wameweka pesa zao kwenye rucksack zao ndio maana!!! Nikaondoka na kwenda zangu kwa mpemba wa mtaani. na nina kitambi!
Hizi ni exceptional cases jamani....si kila mahali utaenda ukumbane na adhaa hii, though nakubali customer care bongo iko chini hata ukicompare na jirani zetu wa Kenya!
Bongo kunakeraa ukitaka heshima
1:Kuwa na Kitambi
2:Ongea kingereza
3:Kuwa mweupe(white man)
Sasa hii tuiiteje....maana sio Racism wala Tribalism....!!!!