Himawari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 2,609
- 1,700
Hawa wamezidi basi wanashindwa kuweka kibao cha for whites only.Haya maduka ukiingia mzawa unaangaliwa kama mwizi na hasa hivi vidada vinakera sana.
Bongo kunakeraa ukitaka heshima
1:Kuwa na Kitambi
2:Ongea kingereza
3:Kuwa mweupe(white man)
Sasa hizo shopping malls za nini bongo kama mambo yenyewe ndio kama haya!?