Bongo movie acheni majungu hivi hatutafika

Bongo movie acheni majungu hivi hatutafika

Raynavero

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2014
Posts
38,378
Reaction score
56,047
Kwa style hii ya Bongo movie kupigana vijembe na kuonyeshana chuki hadharani kweli mtafika?
Juzi baada ya usiku wa tuzo kuisha na wasanii Wema na Gabo kuchukua tuzo wengi wameonyesha kutokupendezwa na kuonyesha chuki hadharani.

Hivi mlikua wapi kupeleka kazi zenu mpk mulalamike hvyo?

Mbona mna majungu hvyo?
Hivi mtafika Bollywood au Hollywood au ht Nolywood kwa style hii?

Tunapenda sana sanaa ila mnatukatisha tamaa kwa movie zenu mbovu zisizovutia tumebase kwa wazungu,wakorea wahindi n.k

Ifike mahali mjitathmini wapi mlikosea sio kupondaa tuuu!au kwa kua kapata Wema?!

Mlitaka akose mfurahi?!Dah!badilikeni jamani!tunahitaji kina Lupita Tanzania!
Mmenifadhaisha mnoo Bongo movie mnoo!

Wasanii wengi wa kike mnachojua kuoa viben ten na wanaume kua wadananda(makuwadi).
Leo Azam wameanzisha Sinema zetu International Film Festival mmeambiwa mpeleke movie hamjapeleka!Leo kapata tuzo mnalalamika!

Acheni roho mbaya nyie kina Batuli.
 
Watabadilika Tu sinema zetu festival itawabadilisha tu
Hata mimi nimeona hizi awards za Azam zitasaidia kuwatoa kwenye usingizi wa kulewa umaarufu usio na tija.

Irene ajitazame upya. Alikuwa star wa bongo movie anayekubalika sana hadi nje ya Tanzania. Lakini hakuulinda ustar wake kwa kufanya kazi nzuri zaidi. Alipoona umaarufu unapungua akaona asafishe nyota kwa kujikabidhi kwa Ben7. Sasa kasahau kwamba hicho si kigezo cha kupata award.
 
To be honest, najickia faraja sana ninapokutana na maoni yanayoashiria kuwa concerned na tasnia ya filamu nchini!


My thumb down kwa wale ambao wanachojua ni kuponda tu Bongo Movie tena kuponda kwa dharau na kejeli!

Hawa wanasahau kwamba filamu ni taaluma ambayo watu wanakaa darasani 3-4 years!!

Kinyume chake, Tz waliokuwa kwenye tasnia ni wale wanao-hustle wenyewe bila taaluma yoyote ya filamu!

Na hata wale wenye taaluma, hawashiriki kwavile wengi wao walijikuta tu wakisoma film and art bila kuwa na passion!!
 
Kwa hawa wanawake hivi wema nini kimemshindisha hyo tuzo?Riyama deserve than her.
 
Back
Top Bottom