mwanaapolo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2014
- 256
- 78
Maneno yanayoonekana katika account ya Mh. Zito Kabwe ni kuwa kiwanda cha filamu Tanzania kimefyatua kazi 8milion kwa miaka miwili huku wastani wa siku ukiwa ni filamu 11.
Huku kodi ya zaidi mili 300 ikilipwa.
Swali ni, je hiki kiwanda kinakufa au kinakua?
Nani ananufaika na nani anaumia?
Je filamu zikiwa bei pendekezwa ya Steps zitauzika zaidi au bei ya sasa ina mashiko?
Je takwimu hizo zina uhalisia?
Huku kodi ya zaidi mili 300 ikilipwa.
Swali ni, je hiki kiwanda kinakufa au kinakua?
Nani ananufaika na nani anaumia?
Je filamu zikiwa bei pendekezwa ya Steps zitauzika zaidi au bei ya sasa ina mashiko?
Je takwimu hizo zina uhalisia?