Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Nyie Bongo movie, acheni utapeli. Mlichangisha rambi rambi kwa ajili ya kuwapoza wafiwa ili kipindi hichi cha majonzi ambacho hawawezi kutafuta hizo pesa ziwasaidie kusukuma siku.
Sasa nyie mmegeuza michango ya rambi rambi eti kuwa ada ya kusomesha mtoto akianza mwakani form one!
Hayo majukumu nani kawagawia? Nyie ndio baba wa mtoto?
Hizo pesa mkabidhini mzazi wa marehemu.
Hayo mambo ya kusomesha ikihitajika msaada wenu mtachangishwa na wenye nia watachanga.
Acheni kula rambi rambi za watu kijanja.
Basi kama kweli mngekuwa na mpango wa kusomesha mtoto, hizo pesa mngeshaziweka kwenye akaunti ya mtoto. Mnakaa nazo mpaka sasa hivi ili iweje? Au ndio mmejikopesha ili watu wakisahau mzitafune kimya kimya?
Najua vyuma vimekaza, ila sio kwa staili hii aisee!
Michango ya Masogange haipewi familia - Steve | East Africa Television
Sasa nyie mmegeuza michango ya rambi rambi eti kuwa ada ya kusomesha mtoto akianza mwakani form one!
Hayo majukumu nani kawagawia? Nyie ndio baba wa mtoto?
Hizo pesa mkabidhini mzazi wa marehemu.
Hayo mambo ya kusomesha ikihitajika msaada wenu mtachangishwa na wenye nia watachanga.
Acheni kula rambi rambi za watu kijanja.
Basi kama kweli mngekuwa na mpango wa kusomesha mtoto, hizo pesa mngeshaziweka kwenye akaunti ya mtoto. Mnakaa nazo mpaka sasa hivi ili iweje? Au ndio mmejikopesha ili watu wakisahau mzitafune kimya kimya?
Najua vyuma vimekaza, ila sio kwa staili hii aisee!
Michango ya Masogange haipewi familia - Steve | East Africa Television