Bongo Movie wamsusia Wema msiba

Wanamchafua bwana si wajua kuelekea 2015 tutaona mengi na kusikia pia.
Kama dem yupo uchi why muheshimiwa hata chuchu asishike ye anune tu haaaaa.

Umeona eeh...hamna ushirikiano kabisa
 
Wewe nae nilikwambia usipojipanga, ndo ufanye ujiunge insta, maana wambea wote tunapatikana uko

Tokea huyo kamanda afungiwe insta means nothing to me aiseee,sijui atajipanga lini arudi
 
Tokea huyo kamanda afungiwe insta means nothing to me aiseee,sijui atajipanga lini arudi

Kafungua account nyingine, sasa iv kafulia,maana kila siku yeye na wolper
 
Shoga yako Dinazarde anapenda umbea vitendea kaz hana, anatutia aibu anashundwa hata kujua yanayojir instagram, sasa mimi nilimwambia jipange yeye anasema team ukweli

Mi napenda umbea wa kuletewaa ndio mtamu kweliii
 
Last edited by a moderator:
Wewe nae nilikwambia usipojipanga, ndo ufanye ujiunge insta, maana wambea wote tunapatikana uko

Jamii tu inanifanya busy je na insta khaaa we unanitafutia kesi mieee
 
Ndo ivo binami, ivi umepata umbea wa lile chatu la arusha??, inasemekana ni mtoto wa mwenye nyumba hilo chatu, nimetetemekaje??

????
Wengine hatujaipata hio. Tugawie huo ubuyu
 
????
Wengine hatujaipata hio. Tugawie huo ubuyu

Nasikia imetokea jion ya leo uko arusha sakina, joka aina ya chatu lilikutwa mlangoni ndani ya geti limefunikwa kitambaa cheupe na maneno ya kiarabu na wafanyakazi wa ndani ya hiyo nyumba, kwa mshtuko wakampigia simu boss wao kumjulisha kuhus huyo nyoka, cha kushangaza kama sio kusikitisha huyo boss akawaambia wasimuue huyo nyoka ni mtoto wake wa kwanza, nasikia hilo joka lilitokea chumbani kwa huyo mama, na inasemekana huyo mama ni tajir sana anamilik kampuni ya clearing n fowarding pamoja n mali NY engine
 

Attachments

  • 1402000217474.jpg
    56.9 KB · Views: 104
Ndo ivo binami, ivi umepata umbea wa lile chatu la arusha??, inasemekana ni mtoto wa mwenye nyumba hilo chatu, nimetetemekaje??

Sijaupata ni kina nani haoooo/??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…