TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Wanamchafua bwana si wajua kuelekea 2015 tutaona mengi na kusikia pia.
Kama dem yupo uchi why muheshimiwa hata chuchu asishike ye anune tu haaaaa.
Umeona eeh...hamna ushirikiano kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanamchafua bwana si wajua kuelekea 2015 tutaona mengi na kusikia pia.
Kama dem yupo uchi why muheshimiwa hata chuchu asishike ye anune tu haaaaa.
Umeona eeh...hamna ushirikiano kabisa
Si walisema team ukweli kafungiwa huko insta auu????
Anatuangusha bhana, anapitwa na mengi
Wewe nae nilikwambia usipojipanga, ndo ufanye ujiunge insta, maana wambea wote tunapatikana uko
Kafungua account nyingine, sasa iv kafulia,maana kila siku yeye na wolper
Wewe nae nilikwambia usipojipanga, ndo ufanye ujiunge insta, maana wambea wote tunapatikana uko
Ndo ivo binami, ivi umepata umbea wa lile chatu la arusha??, inasemekana ni mtoto wa mwenye nyumba hilo chatu, nimetetemekaje??
????
Wengine hatujaipata hio. Tugawie huo ubuyu
Ndo ivo binami, ivi umepata umbea wa lile chatu la arusha??, inasemekana ni mtoto wa mwenye nyumba hilo chatu, nimetetemekaje??