Bongo Movie wanaona aibu kuhudhuria msiba wa Sajuki kutokana na unafiki wao

Bongo Movie wanaona aibu kuhudhuria msiba wa Sajuki kutokana na unafiki wao

figganigga

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2010
Posts
25,724
Reaction score
55,906
mwaka jana mwezi wa 12 sajuki aliwaomba wasanii wenzake wa bongo movie wakampe support katika show iliyo kuwa ifanyike arusha wakakubali, show ilikua ifanyike siku ya jumapili lakini wasanii wa bongo movie baada ya kuona muitikio wa watu ni mkubwa wakaenda kufanya show peke yao jumamosi bila kumshirikisha sajuki na hela hawakumpa. baadala yake wakamwambia abadilishe show iwe wiki ijayo moshi lakini sajuki alikataa baada wasanii wa bongofleva kukubali kumpa kampani j2. ndo siku aliyo anguka jukwaani. mia
 
mwaka jana mwezi wa 12 sajuki aliwaomba wasanii wenzake wa bongo movie wakampe support katika show iliyo kuwa ifanyike arusha wakakubali, show ilikua ifanyike siku ya jumapili lakini wasanii wa bongo movie baada ya kuona muitikio wa watu ni mkubwa wakaenda kufanya show peke yao jumamosi bila kumshirikisha sajuki na hela hawakumpa. baadala yake wakamwambia abadilishe show iwe wiki ijayo moshi lakini sajuki alikataa baada wasanii wa bongofleva kukubali kumpa kampani j2. ndo siku aliyo anguka jukwaani. mia

tutakutana nao msibani kwani ni wakati mwingine tena wa unafiki
 
Mbona wameshatangaza kamati ya mazishi? Kuna watu wamechunwa nyuso wewe. R.I.P Juma.
 
To me the thing that is worse than death is betrayal,bonge movies walimsaliti sajuki kule arusha,shame on them
 
Unaweza kututajia majina ya waliomhujumu? Naamini si bongo Movies wote.
 
Mtu akishatoka kwenye ka movie kamoja na yeye anajiita star kwenye account hata million tatu hakuna pumbavu sana hawa vijana,hata mwenzao mgonjwa wanashindwa kumsaidia wanaweka maslahi mbele kabla ya anythin,tunaomba majina yao yote,now wanajifanya kuhuzunika

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
tutakutana nao msibani kwani ni wakati mwingine tena wa unafiki

wapo watakao kuja. lakini asilimia kubwa hawatakuja mwenyewe utaona. nafsi zao zinawasuta sana. coz ile hela ingepatikana angeongezea na hela wasanii wa mbeya walio mchangia akaenda india. lakini mipango aliyo panga iliharibika baada ya wenzake kumsaliti akakosa hata nguvu za kuaandaa show nyingine coz aliwategemea bongo movie. cha ajabu kila mmoja alijifanya busy. mia
 
Mbona wameshatangaza kamati ya mazishi? Kuna watu wamechunwa nyuso wewe. R.I.P Juma.

kamati imeundwa mchana. kama umefuatilia yule mwenyekiti wa bongo movie tangia asubuhi alikua anapigiwa simu hapokei. Baadae akasema alikua hapokei kwa sababu ya uchovu wa safari ya kutoka morogoro. alipo ulizwa kifo cha sajuki akasema hawezi zungumzia chochote hadi afike mochwari kana kwamba hana katibu. mia
 
Ambao mtahuthuria hayo mazishi muwazomee hao mashetani ikiwezekana muwachane live natamani ningekuwa Mc wa huo msiba!aaaaah!!!!
R.I.P SAJU...
 
To me the thing that is worse than death is betrayal,bonge movies walimsaliti sajuki kule arusha,shame on them

kwa kweli. cha kusikitisha wanaenda kufanya show siku moja kabla ya show yake. yeye alikua hajui kama wenzao wanafanya show. usiku wa kuamkia siku ya show ndo bongo movie wanampigia simu eti show ya arusha imeahirishwa baadala yake itafanyika moshi so ajiandae kwa matangazo ya moshi wakati kashalipia matangazo arusha. akamua kufanyia arusha bila bongo movie. mia
 
Unaweza kututajia majina ya waliomhujumu? Naamini si bongo Movies wote.

mkuu aliandika barua kwa uongozi wa bongo movie wamsaidie kuzunguka mikoa mbalimbali ili apate hela ya matibabu wakakubali. na walikua washazugnuka mikoa tofauti na kupata mil 15. mategemeo yake ni show ya arusha na moshi asingekosa mil 10 ambayo ingemuwezesha kwenda kumalizia matibabu coz ilitakiwa mil 28. bongo movie walitaka nao walipwe so ile show walikua kama wanajilipa. walipata zaidi ya mil 15. mia
 
Tusubiri cku ya mazshi yake tuone watakapojifanya kupoteza fahamu.RIP SAJUKI
 
Leo wamehojiwa 5 connect channel 5.
Kumbe wanafiki wale eeee sikujua dah.
Tena wakasema kuwa muhimbili walikuwa wana uhaba wa gesi na mashine zakupumulia kwa hiyo wasingeweza kumsafirisha na mashine inabidi wamsubiri mpaka apate nafuu ikabidi juzi mtitu game apige simu emirates sijui qatar airways sikumbuki kampuni gani ya ndege kuwa kama kuna uwezekano wa kumsafirisha hiyo kampuni ikakubali kujitolea gas ila wakawashauri walipie siti 2 ili gesi ipate sehemu ya kukaa au walipie siti 3 kabisa wamzungushie sajuki shuka iwe kakaa peke yake.
Bla bla bla kibao koleta kidogo adondoshe chozi
du kumbe wanafiki eeee jamani mhhh.
 
wapo watakao kuja. lakini asilimia kubwa hawatakuja mwenyewe utaona. nafsi zao zinawasuta sana. coz ile hela ingepatikana angeongezea na hela wasanii wa mbeya walio mchangia akaenda india. lakini mipango aliyo panga iliharibika baada ya wenzake kumsaliti akakosa hata nguvu za kuaandaa show nyingine coz aliwategemea bongo movie. cha ajabu kila mmoja alijifanya busy. mia

jamaa walikosa utu kabisa,yani mwenzao anatafuta hela ya kuokoa maisha yake wao wanafocus kwenye individual interest?walimdisappoint sana Sajuki ila Mungu ndie anaejua
 
Back
Top Bottom