Bongo Movie wanaona aibu kuhudhuria msiba wa Sajuki kutokana na unafiki wao

Bongo Movie wanaona aibu kuhudhuria msiba wa Sajuki kutokana na unafiki wao

kwa kweli. cha kusikitisha wanaenda kufanya show siku moja kabla ya show yake. yeye alikua hajui kama wenzao wanafanya show. usiku wa kuamkia siku ya show ndo bongo movie wanampigia simu eti show ya arusha imeahirishwa baadala yake itafanyika moshi so ajiandae kwa matangazo ya moshi wakati kashalipia matangazo arusha. akamua kufanyia arusha bila bongo movie. mia

Hebu nisaidieni jamani mi huwa sielewi, hawa bongo movie huwa show zao zinakuwaje? Wanakuwa wanaigiza jukwaani au wanaimba au wanacheza au wanafanyaje? Mashkolo magheene
 
walimsaliti na ata hiyo ilimuaffect kisaikolojia sana na kumpa msongo wa mawazo,sasa hiv utasikia serikali kutoa rambirambi million 10 na kugharamia mazishi
 
Naona mpaka leo hamjajuwa kwa nini mtu Tapeli anaitwa "msanii" mkishalijuwa hilo wala hamuwezi kusumbuwa akili zenu.
 
Hawa washamba ndio maana sitakaa nitazame movie zao ata nishikiwe bastola..hawa ni WASHAMBA fulstop,wacheza movie wako mbele bwana!!
 
Back
Top Bottom