Bongo movies subtitle

VKEY

Member
Joined
Jan 18, 2011
Posts
20
Reaction score
0
Jamani wana jf tusaidiane katika hili pia, subtitle kwenye filamu zetu za kinyumbani mi naona bado ni mzozo! Ina maana hao maprodyuza na madairekta hawana uwezo wa kutafuta watu ambao ni compitent ktk lugha hizi mbili yaan eng and swahili au ndo bajeti finyu?!!!! Kwa mpango huu kuvuka boda itachukua muda sanaaaaaaaaaaaa
 
Wanataka kubana matumizi na matokeo yake ndio hayo...kweli subtitles zinatia aibu sana!!
 
Wanataka kubana matumizi na matokeo yake ndio hayo...kweli subtitles zinatia aibu sana!!

ni aibu harafu ni hasara kwao maana wanakosa soko la nje kwa ubahili wao. na inakuwaje wanatoa filamu hata bila kuedit hizo lugha!!!!!!!!!! wanaangalia mavazi tuu.
 

ni aibu katika industry ya filamu, ILA NADHANI HATA WASANII WENYEWE SI WEREVU...I mean hawana elimu saaana kutafakari kazi zao kitaaluma.
 
mi kinanikera sana pamoja na tatizo la uhalisia ktk sinema zetu.pale BAKITA kuna wataalam wakali sana wa kiingereza na wanafanya kazi ya tasfiri muda mrefu.kwanini wasiwatumia hawa ????
 
mi kinanikera sana pamoja na tatizo la uhalisia ktk sinema zetu.pale bakita kuna wataalam wakali sana wa kiingereza na wanafanya kazi ya tasfiri muda mrefu.kwanini wasiwatumia hawa ????

hapo ndo nashindwa kuwaelewa!!!!!!!!!!!!! Wanafanyia mazoea na hawatumii muda kujiridhisha na viwango wanavyotengeneza!! Na pia suala la fake scenarios.....yaan dahhh
 
Jumapili kwenye saa tatu na nusu usiku TBC1, walionyesha movie ya hao Step entertaiment. Jina la hiyo movie ilikua ni aibu,,
Iliitwa eti "Precious (Siri ya moyo wangu)"

Hiyo ya kwnye mabano ndo eti wanatufafanulia.
 
Jumapili kwenye saa tatu na nusu usiku TBC1, walionyesha movie ya hao Step entertaiment. Jina la hiyo movie ilikua ni aibu,,
Iliitwa eti "Precious (Siri ya moyo wangu)"

Hiyo ya kwnye mabano ndo eti wanatufafanulia.

hapo sasaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
let me a peace of advise kwanini haw awasanii wetu angalao wasiende kusoma manake hamna kitu:frusty:
 
let me a peace of advise kwanini haw awasanii wetu angalao wasiende kusoma manake hamna kitu:frusty:

nyie ongeeni tu mwenzenu ray tayari yuko tena jikoni anandaa muvi nyingine mpya,itaisha baada ya wiki mbili zijazo.
 
Hehehe sijui ndio kanumba anatema ungenge movie inaitwa offside. Naskia alienda english course miezi 2.
 
Tatizo la watz wengi.
Kila mtu hufikiri anajua saana na hahitaji kuuliza kwa wengine, ndio maana subtitles za kwenye muvi zao zinaboa kama nini.
 
Jumapili kwenye saa tatu na nusu usiku TBC1, walionyesha movie ya hao Step entertaiment. Jina la hiyo movie ilikua ni aibu,,
Iliitwa eti "Precious (Siri ya moyo wangu)"

Hiyo ya kwnye mabano ndo eti wanatufafanulia.
Mimi sijaona hii filamu, lakini suala la kubadilisha "title" ya filamu katika tafsiri ni jambo linalotumiwa sana. Mara nyingine, mbali na kuangalia tafsiri ya maneno tu, vilevile inazingatiwa jina linalotoa mvuto zaidi kwa filamu. Unafikiri jina TUNU, THAMANI lingelikuwa bora kwa "Precious" katika mukhtadha wa filamu yenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…