eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Nakubaliana na wewe mkuu, Watanzania tumekuwa hasi sana hapa jf kwa vitu vizuri vya kenya.
Umewahi ona wenyewe wakileta taarifa chanya kuhusu TANZANIA?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakubaliana na wewe mkuu, Watanzania tumekuwa hasi sana hapa jf kwa vitu vizuri vya kenya.
Mzee toka nje ya Jf na uende kwenye forum yao au hata tu kwenye forum ya nigeria nairaland uone jinsi wanavyoitukana Tz na tena sometimes kwenye threads ambazo zinaiongelea Kenya ila wataiweka Tz ili wao waonekane wapo better off. Kiukweli Wakenya wanatudharau sana watz na hata wakiona jambo positive ni lazma watatafuta point of weakness ili wasiivunje superiority au ego yao. Sikatai kuwa sometimes wanakuwa ni wakweli maana tuna madhaifu lakini sio kwa kiwango hicho
Sikubaliani na watu wanaofurahia majanga japo wanajulika maana ni wale wapenda league za humu na wao hawawezi kutumika kama ndio "Watanzania".. Guys bila mzungu kuchora mipaka huu ukenya na utanzania ungetokea wapi
Sent using Jamii Forums mobile app
This one especially....I will never understand our neighbours to the south. Remember when they had a ferry accident and we consoled them and supported them, because you can never wish death even to your worst enemy. Tragedy can happen to anyone because we cannot control disasters....But wait until disaster strikes in Kenya...Remember Dusit attack, todays kidnapping of two Cuban doctors...They were all over celebrating that they had something to talk about in JF and something to troll Kenyans about...I saw another one post about the unfortunate incident of Ivy Wangechi, the Medicak student killed by her her 'supposed boyfriend' and he was saying Kenyans in general lack morals, like how can someone go about killing another like he has no brain....I just looked at that comment and passed it...It was not worth replying..It lack sense in all forms and humanity in it...Well the point is, our neighbours wish that bad things happen in Kenya so that they can talk about it....Personally I love Tz, I have been there...Had a conference at Mlimani City Conference Hall, went to Oyster Bay....Clubbed there for a week, went to Coco beach enjoyed myself there...Had some good time with some of their ladies (btw they are very beautiful)....Made some good friends whom we still talk to date, kwanza a lady by the name Levina…….But that does not mean I cannot share constructive criticism about Tz aimed at making it better, and this is what this forum is all about...and same case to them...That way, this forum will be meaningful to all!
Ndiyo maana ile pm yangu ya kibepari umeipuuzia?Huu ni Uzi mzuri sana, lakini wachangiaji tunapita vilee... Hadi tutakapo lewa ndio kidogo hii lugha ya bepari inapanda...tehteehhteeehhhh....[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi najua huu ni utani wa jadi tu. Hii mipaka walituwekea wazungu tu. Vinginevyo wakenya ni kaka na dada zetuMimi hufurahia wakati wamekasirika na maendeleo yetu kwa kuwa najua sindano ndaniii hadi kwa mfupa. joto la jiwe njoo na "failed state"
Mchumba nakusalimia...
Mchumba mimi mzima kabisa, hofu na mashaka ni kwako wewe.Mchumba nakusalimia...
Mi niko salama kabisa. Salamu nyingi zikufikie kama matone ya mvua. Wawaonaje wazazi nyumbani utokeapo?
Ila sio wote mazee, wengine tuna mashemeji Kenya, hii ni kubishana tu, wakenya msicatch mafeelings sana.Nakubaliana na wewe mkuu, Watanzania tumekuwa hasi sana hapa jf kwa vitu vizuri vya kenya.
Nayakusanya kusanya yawe mengi ndiyo nije[emoji13][emoji13][emoji13]Aisee, nasubiri hapa.
Ila makosa siyo mengi eeh!
Asante Babu mchumba[emoji8][emoji8].Mi niko salama kabisa. Salamu nyingi zikufikie kama matone ya mvua. Wawaonaje wazazi nyumbani utokeapo?
Nayakusanya kusanya yawe mengi ndiyo nije[emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila utakacho comment kwanzia sasa, kitatumika kama ushahidi.[emoji13][emoji13][emoji13]Ntakuwa nishazimia muda huo, maana presha imepanda hatari.
Kila utakacho comment kwanzia sasa, kitatumika kama ushahidi.[emoji13][emoji13][emoji13]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa wewe chagua Ku comment au kukaa kimya[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Umenifanya nicheke kwa sauti, yaani kama polisi kwenye Bongo Movie:-
"Kila utakachotamka kuanzia sasa linaweza kutumika kama ushahidi, una haki ya kuendelea kuongea au kukaa kimya".