Bongo Record Vs Mj-Record:Kati ya P-Funk Majani na Master Jay nani alitengeneza ngoma kali zaidi?

Bongo Record Vs Mj-Record:Kati ya P-Funk Majani na Master Jay nani alitengeneza ngoma kali zaidi?

Jaribu kuzunguka mabara barani hapa Tanzania ulinganishe wingi wa Gari kabila la Toyota v/s Makabila Mengine kama Nissan, Suzuki, Isuzu, etc. Hivi ndivyo ilivyokua wingi wa ngoma za Majani kwenye Top 10 v/s ngoma za ma producers wengine.

MJ ni mzuri pia, ila hakumfikia Majani.
 
Pfunk yule mjinga moto wa kifuu, ile ada ya milioni 40 kwa mwaka pale International schhool of Tanganyika ilibidi tu wamfungulie studio Marekani maana alikuwa level za kina dre kabisa...Tukumbushane maajabu ya P funk majani
1.She got agwain @ngwea
2.kama unataka demu
3.nitoke vp-bwana misosi
4.Nikusaidiaje: professor jay
5.Mikasi
6.Nipo bize:Jaffarai

Hadi sasa hivi huyu mjinga hakuna wa kumpambanisha nae,Respect kwa master J na Mikamwamba pia kwa kulifanya game Liwe na ushindani.
 
Pfunk yule mjinga hafai, ile ada ya milioni 40 kwa mwaka pale International schhool of Tanganyika ilibidi tu wamfungulie studio Marekani maana alikuwa level za kina dre kabisa...Tukumbushane maajabu ya P funk majani
1.Mtoto wa getikali
2.kama unataka demu
3.nitoke vp-bwana misosi
4.Nikusaidiaje: professor jay
5.Mikasi
6.Nipo bize:Jaffarai

Hadi sasa hivi huyu mjinga hakuna wa kumpambanisha nae,Respect kwa master J na Mikamwamba pia kwa kulifanya game Liwe na ushindani.
Unajua gharama ya kufungua bongo records au unaropoka tu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumshindanisha P na MasterJ ni kumkosea adabu...

Huyu jamaa ni hatari...

Umesikiliza

Party flan-Geez
Maisha ya madem-wandago
Usipime-Black rhyno
Birthday ya HK
Ratiba zetu-Snaa lee
Mida mibovu
Ndani ya club na Yote ni maisha??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pfunk yule mjinga hafai, ile ada ya milioni 40 kwa mwaka pale International schhool of Tanganyika ilibidi tu wamfungulie studio Marekani maana alikuwa level za kina dre kabisa...Tukumbushane maajabu ya P funk majani
1.Mtoto wa getikali
2.kama unataka demu
3.nitoke vp-bwana misosi
4.Nikusaidiaje: professor jay
5.Mikasi
6.Nipo bize:Jaffarai

Hadi sasa hivi huyu mjinga hakuna wa kumpambanisha nae,Respect kwa master J na Mikamwamba pia kwa kulifanya game Liwe na ushindani.
Sina hakika kama Mtoto wa Geti kali ni ya Majani. All in all Majani hana mpinzani, labda MJ tungempambanisha na Mika Mwamba, kwa Majani tunamuonea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pfunk yule mjinga hafai, ile ada ya milioni 40 kwa mwaka pale International schhool of Tanganyika ilibidi tu wamfungulie studio Marekani maana alikuwa level za kina dre kabisa...Tukumbushane maajabu ya P funk majani
1.Mtoto wa getikali
2.kama unataka demu
3.nitoke vp-bwana misosi
4.Nikusaidiaje: professor jay
5.Mikasi
6.Nipo bize:Jaffarai

Hadi sasa hivi huyu mjinga hakuna wa kumpambanisha nae,Respect kwa master J na Mikamwamba pia kwa kulifanya game Liwe na ushindani.
Rekebisha namba moja, mtoto wa geti producer ni Mika Mwamba.
 
Anayesema mJ ni zaidi ya P Funk aje na vielelezo maana Afrika mashariki na kati yote inajua PFunk ni zaidi ya MJ.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Bongo record ilikuwa noma sana, salama jabir anasema alikuwa anapitia ngoma zaidi ya 20 za kupiga kwenye kipindi chake cha planet bongo kila jumamosi asubuhi na zote zinaingia top 10 next week.
P-funk genius level talent yake ilikuwa ni kufanya Kazi na akina Dr Dre na snoopy dog na sio Juma kiroboto.

Master jay yule Mangi ni mbabaishaji tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro usiseme hawa watu wawili.. Pa1 na kina bizman and like... Wanahitaji heshima kubwa kuliko tunavyowashindanisha hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom