Bongo sihami ng'oo!

Bongo sihami ng'oo!

Wabongo na sisi tunapenda sana kukuza mambo, hivi ukiwa waziri ndio upaswi kufanya mazoezi!!!? Cha ajabu ni nini hapo?
 
kajitahidi kwa umri wake ku mantain shape kiasi hiko tumpe hongera......ila nyungu atoe pale muhimbili,watu watakua na false hopes wakiumwa waende Muhimbili kitengo cha nyungu, ambayo haijathibitishwa kuponyesha...
 
Back
Top Bottom