Bongo Star Search: Sijaona alichokosea huyu kijana mpaka mumcheke na kumkejeli kiasi hiki

Mwamba umemaliza kila kitu
 
Halafu hawa wasng wadwanzi sana, muziki hawaujui wao wanataka jamaa atoe sauti ya autotune ndio wakubali

Huyo ommydimpoz mbona nyimbo zao wakiwa wana perfom jukwaani kwa mic wanakuwa na sauti mbovu na tunawavumilia?
Wazinguaji hamna shindano hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…