Bongo uaminifu na kuaminiana waislamu wako mbali sana

Hii mada nlikuwa naijadili jana na jamaa yangu mmoja,alikuwa anatetea unachokisema mimi nilikuwa napinga.Wewe ni mkristo na muaminifu kwa mujibu wa maandishi yako,mimi ni mkristo na muaminifu kwa jinsi navyojijua.
Wapo christians waaminifu pia
 
Sio kwamba ni waaminifu Ila wanajua Kuna gharama kubwa italipwa ukienda nje ya mstari.
Kila shekhe anajua madhara ya Albadri.
Baba la baba mzee Mohamed hawezi kupita na hela za mama lao Faiza la sivyo kesho ataanza kuokota makopo hapo gerezani
sio kweli, Waislamu wanafundishwa wazi wazi bila kupindisha maneno kuwa Ipo siku ya mwisho (siku ya hukumu) ambayo itakuwa ngumu sana kuliko binadamu yeyote anavyoweza kufikiria!
Ukipunja kwenye Mizani, ukila mali ya yatima (watoto walio fiwa na mzazi/wazazi wao), ukiiba/kurusha nk siku ya mwisho utaingia motoni na hata ukiomba na kulala msikitini kama hujayarekebisha machafu aliyoyakataza Mungu, kwake huna nafasi...
Ndicho kinafanya waogope
 
Rafiki yangu alidhulumiwa kiwanja na mchungaji wake Wa kanisani daahh...aliumia Sanaa na hakutegemea Kwa kweli ..Mpk Leo almost 7yrs hajamaliza deni
Sheikh alikula hela za mauzo ya kiwanja cha marehemu ndugu yake akamdhulumu mjane yule milion 13
 
Usiwasifie sana. Ni mafunzo ya dini yao yanawafanya wawe hivyo na hasa kwenye biashara.Kuna Muislam mmoja alikuja kwangu Kununua kitu kwenye duka langu kapungukiwa Shillingi 500.Nikamwambia aende ataniletea kesho yake akakubali lakini hapohao akampigia simu mtoto wake akaja pale dukani ana umri kama miaka 21 hivi. Nilishangaa sana alipomfahamisha kuwa anadiwa 500 ataileta kesho yake lakini kama amri ya Mwenyezi Mungu itapita na akatwaliwa kabla ya hiyo kesho kufika,basi mtoto abebe hilo deni.Wakakubaliana wakaondoka.
Kwa bahati nzuri kesho yake ilifika na Mzee mwenyewe aliileta ile fedha.
Sikuami kama ni mambo ambayo yanapatikana katika dunia hii lakini katika kuuliza nikaambiwa ni waoga sana linapokuja swala la klumwogopa Mungu.
 
Aisee[emoji848]
 

Albadr
 
Ilo kwa muislam mwenye dini kwenye pesa ondoa shaka ila nikutahadhirishe usije ukaamini same kwenye kumwachia mkeo huko wengi hua wadhaifu sana ila kwenye pesa dhurma hua tunaogopa kupita maelezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…