Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
Mdau, ni wimbo gani wa Bongo Fleva ulihit sana miaka ya 2000-2010?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikupe nini Man Dojo, Alikufa kwa ngoma Mwana FA, Wanok nok Jide ft Man dojo
wastara wa Sajuki?Nje ya mada....
Hivi Wastara aliendaga wapi??
Kuna wastara bongo muvi na staara Thomas wa tulizana..Nje ya mada....
Hivi Wastara aliendaga wapi??
Ndio mkuuwastara wa Sajuki?
Yule aliekua mke wa sajukiKuna wastara bongo muvi na staara Thomas wa tulizana..
sijajua kwakwelNdio mkuu
YupoYule aliekua mke wa sajuki
Mkuu naomba link ya alikufa kwa ngomaNikupe nini Man Dojo, Alikufa kwa ngoma Mwana FA, Wanok nok Jide ft Man dojo
Asante kwa taarifa zake mkuuYupo
Kuna siku nilimwona ZAMARADI TV kwenye kipindi cha SHOWBIZZ
Alikatwaga mguu anavaa mguu wa bandia yupo vizuri TU