Bongotionary:Sitoi Boko

Bongotionary:Sitoi Boko

Amalinze

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2012
Posts
6,780
Reaction score
5,305
Habari wadau wa Jukwaa la lugha,

Kuna neno nimekuwa nikilisikia kwenye baadhi ya mistari ya nyimbo za bongo fleva,Neno lenyewe ni "Sitoi boko".

Nimejaribu kuunganisha nucta kutokana na Jina la mchezaji "John Boko" na kurelate na mistari ya hizo nyimbo nimetoka kapa.

Baadhi ya Mistari iliyotumia ilo neno:-

Country Boy: Niko na wewe
"Tuzae watoto waniite daddy/
Sitoi boko mechi zote mi ni shuti ndani"

Mwana FA :Sielewi
" Bonge la mtoto/bonge la zigo/Naamini sioti coz naipenda hii ndoto/Sitoi boko/na naamini hayuko soko"

Joh Makini: Nusu Nusu
"Brand kubwa sio kitoto /Na shoo ni cash sio mikopo /Najenga nchi sitoi boko."

Ruby: Are you ready?
"Sina penzi local,Sitoagi Boko,Mambo yangu Moto"

Je hilo neno linamaana gani?
 
Habari wadau wa Jukwaa la lugha,

Kuna neno nimekuwa nikilisikia kwenye baadhi ya mistari ya nyimbo za bongo fleva,Neno lenyewe ni "Sitoi boko".

Nimejaribu kuunganisha nucta kutokana na Jina la mchezaji "John Boko" na kurelate na mistari ya hizo nyimbo nimetoka kapa.

Baadhi ya Mistari iliyotumia ilo neno:-

Country Boy: Niko na wewe
"Tuzae watoto waniite daddy/
Sitoi boko mechi zote mi ni shuti ndani"

Mwana FA :Sielewi
" Bonge la mtoto/bonge la zigo/Naamini sioti coz naipenda hii ndoto/Sitoi boko/na naamini hayuko soko"

Joh Makini: Nusu Nusu
"Brand kubwa sio kitoto /Na shoo ni cash sio mikopo /Najenga nchi sitoi boko."

Je hilo neno linamaana gani?
Mkuu nasikia umenunua hummer original kama ya gwajima
 
Kama ukijaribu kupika wali ukashindikana kuiva vizuri ukabaki umegandamana kama liugali fulani uswahilini tunaita wali huo bokoboko, ndio neno boko linakotokea, na mpishi anaaibika sana kwa kushindwa kuivisha wali hivyo husemwa ametoa boko.

Msemo huu wa kutoa boko ukawa ni equivalent na kuharibu jambo, au kufanya hovyo fulani...

Hivyo wanaosema sitoi boko wana maanisha hawata haribu...

Usitoe boko = usiharibu
 
Kama ukijaribu kupika wali ukashindikana kuiva vizuri ukabaki umegandamana kama liugali fulani uswahilini tunaita wali huo bokoboko, ndio neno boko linakotokea, na mpishi anaaibika sana kwa kushindwa kuivisha wali hivyo husemwa ametoa boko.

Msemo huu wa kutoa boko ukawa ni equivalent na kuharibu jambo, au kufanya hovyo fulani...

Hivyo wanaosema sitoi boko wana maanisha hawata haribu...

Usitoe boko = usiharibu
Thanks Mkuu kwa ufafanuzi.
 
Back
Top Bottom