Jerlamarel
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 843
- 2,525
Declaration: Say No to Racism.
Kwanza niseme tuu huyu jamaa namkubali 101% katika kile anachokifanya. Ni jamaa anayejua kuleta amsha amsha hasa kwa timu ya taifa, lkn sijawahi kumsikia akiwa anashabikia mambo ya u-team ama ligi ya ndani(vpl kwa wakati huo, sasa npl).
Kinacholeta utata ni kwamba huyu mwamba sio MTANZANIA, na hizi tuzo zilikuwa zinawahusu watanzania tuu, sababu ligi ni ya ndani.
TFF wanapaswa kurevoke tuzo yake ASAP la sivyo mpasuko utakaofuata utawatafuna mpaka mwisho.
Kwanza niseme tuu huyu jamaa namkubali 101% katika kile anachokifanya. Ni jamaa anayejua kuleta amsha amsha hasa kwa timu ya taifa, lkn sijawahi kumsikia akiwa anashabikia mambo ya u-team ama ligi ya ndani(vpl kwa wakati huo, sasa npl).
Kinacholeta utata ni kwamba huyu mwamba sio MTANZANIA, na hizi tuzo zilikuwa zinawahusu watanzania tuu, sababu ligi ni ya ndani.
TFF wanapaswa kurevoke tuzo yake ASAP la sivyo mpasuko utakaofuata utawatafuna mpaka mwisho.