Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbowe ni Chuo cha SANAA Kitambo sanaMbowe is a humble person.
Hamna , mi nimeuliza tu maana choice variable,chiembe , tlaatlaaa na lucas mwashambwa huwa wanaona rais na ccm wanaweza kuacha kufuata sheria hata kudhulumu haki za watu,kuua watu au kuiba kura na wasifanywe chochote.Nani kasema hivyo? Lissu?
Umeandika upumbafu tuMwambieni Lissu mkakinukish hapo kituoni! Tena mwambieni itamuongezea sifa sana kwenye uchaguzi kwamba hana kurembaremba! Ahahahahaha!!!
Ahay! Keyboard Warrior! Ahahahahaha!!Ninyi mnaowatoa watu magereza usiku na kwenda kuwapa ubunge wa vitu maalumu chadema ili kujustify wizi wenu wa kura kweli mnafuata sheria?!
Kwa HOJA hamtatuweza labda kwa Wasiojulikana na Mapolisi.
Ahahahahaha! Keyboard Warrior! Ahahahahaha!!Umeandika upumbafu tu
Hoja zimekuishia mbona unajichekesha? Hii ndio JF ni Hoja kwa Hoja full stop.Ahay! Keyboard Warrior! Ahahahahaha!!
Alidhani yuko Facebook Kwa Watoto wenzake 🐼Hoja zimekuishia mbona unajichekesha? Hii ndio JF ni Hoja kwa Hoja full stop.
Alipata wapi hizo chapati na chai gerezani?!!!Meya wa zamani wa Ubungo ambaye ni Team Mbowe Uchaguzini amevunja ukimya na kumsifia Dr Slaa
Boniface Jacob aka Boni Yai amesema Dr Slaa ni Mtu MWEMA sana
Kwa Siku tulipokuwa mahabusu ya Mbweni Mimi na Malisa Dr Slaa alituletea Chai ya maziwa na chapati Kila Siku asubuhi kabla hata familia zetu hazijafika
Boni Yai Amelia sana kwa Dr Slaa kuwekwa mahabusu
Ni huko Ukurasani X
Ahsanteni Sana 🐼
Hakutakuwa na kesi kwani mahakamani bibi chura na Abdul wake watadhalilishwa.Polisi wajiandae kuthibitisha ukweli wa Uongo wa Drslaa
Mkuu kama wewe ni muoga wa kupelekwa polisi hata gerezani basi wewe sio.Slaa Huwa anajifanya mbabe!
Club House, Kila mtu Yuko nyumbani kwake,yeye Yuko segerea🤣
Bonge atuache kwanzaMeya wa zamani wa Ubungo ambaye ni Team Mbowe Uchaguzini amevunja ukimya na kumsifia Dr Slaa
Boniface Jacob aka Boni Yai amesema Dr Slaa ni Mtu MWEMA sana
Kwa Siku tulipokuwa mahabusu ya Mbweni Mimi na Malisa Dr Slaa alituletea Chai ya maziwa na chapati Kila Siku asubuhi kabla hata familia zetu hazijafika
Boni Yai Amelia sana kwa Dr Slaa kuwekwa mahabusu
Ni huko Ukurasani X
Ahsanteni Sana 🐼
Kuna hoja yoyote umeweka? Bahati mbaya sana humu JF, watu wajinga ndio hujiita "akili kubwa"! Ahahahahaha!!Hoja zimekuishia mbona unajichekesha? Hii ndio JF ni Hoja kwa Hoja full stop.
Ujinga sio tusi, lakini njoo na hoja au hata njoo na ile ID yako nyingine ya kujenga hoja usifikiri huo mchezo wako wa mtoto wa shule hatuujui.watu wajinga
😂😂😂😂Ujinga sio tusi, lakini njoo na hoja au hata njoo na ile ID yako nyingine ya kujenga hoja usifikiri huo mchezo wako wa mtoto wa shule hatuujui.