Pre GE2025 Boni Yai: Mbowe utabakia kuwa Jenerali na kiongozi wangu siku zote, Nitakuwa tayari siku yoyote kupokea majukumu kutoka kwako hata nje ya siasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Sawa Bon Yai.
 
Huyo ndiye Freeman Aikael Mbowe haswa, mtu mwenye weledi, ustaarabu na maono makubwa. Tunajua kuna siku Ulimwengu utakutunuku!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…