Boni Yai yupo na hali gani ?

Boni Yai yupo na hali gani ?

Wakuu, uchaguzi umekwisha mnyukano umekwisha sasa ni wakati wa kutekeleza sera walizoziahidi washindi.

Mwenyekiti mpya Tundu Lissu akiunganishe chama.
 
Achana na huyo boni yai kuna huyu Yericko Nyerere alikuwa mkali kwenye midahalo utasema labda huyo mbowe dingi yake,,, huko aliko Mavi yamembana,, asione aibu aje tu tunamkaribisha APPT maendeleo ila aache kamdomo
 

Attachments

  • Picture1.png
    Picture1.png
    122.6 KB · Views: 2
Unashindwaje wakati asilimia kubwa ya umma unatamka TL ?
Umma wote sasa ndo mda wa kuwabeza waliokua hawamtaki TAL...nini sasa maana demokrasia?
Unashndwa kuja na uzi kureform mnaanza manyanyaso kwnz na kuwatweza wengine si ndio?
 
Back
Top Bottom