Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Chadema ni majitu majinga sana
Wewe kama utakuwa na unafuu sana basi utakuwa punguani. Lakini yawezekana kabisa umevuka kwenye upunguani na kuwa mwendawazimu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chadema ni majitu majinga sana
LABDA MABENKI MITAANI KUNA ULINZI WA WANANCHI WENYEWE....Mkuu bila hili jeshi kusimama imara, unafikiri huko mitaani kungekalika kwa wezi, majambazi na vibaka!
Dhana ya negativity mliyomezeshwa na viongozi wenu chadoma, ni shida, hamuwezi ona kama kuna lolote Zuri, maishani mwenu!
Ukishamezeshwa chadema pill, inaondoa ufahamu kwanza, inakupa msononeko wa moyo, inakupa ujuaji mwingi hata kama ni zezeta, inakupa uwana harakati njaa, once you take a pill, ubishi usio na maana ndipo huanzia!
Aina ya vidonge!
-chadema super argue pill drugs- 1
-chadema moderate pill, hii ni ya wastani, hiyo namba moja ndiyo hatari sana.
CCM ndo mwalimu mkuu wa wajingaChadema ni majitu majinga sana
Pills.....!"CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga na akina mama. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana" - Utafiti wa TWAWEZA.
Wewe upo kwenye kundi gani?
CCM haijali hayoWafanye yoteeee wasimguse malisa hii ni dhahabu,ni zawadi tumepewa na Mungu
Pills....CCM ndo mwalimu mkuu wa wajinga
Ushahidi huu hapa"CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga na akina mama. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana" - Utafiti wa TWAWEZA.
Wewe upo kwenye kundi gani?
😇LABDA MABENKI MITAANI KUNA ULINZI WA WANANCHI WENYEWE....
Safi bon matagi kama sio muhalifu huogopi polisi!Meya huyo wa Zamani wa Kinondoni na Ubungo ameongozana na Wakili wake Hekima Mwasipu.
Boniface Jacob ambaye ni Mwanachama wa Chadema amefikia kwenye kituo cha polisi cha Oysterbay akiwa sambamba na wakili wake Hekima Mwasipu, ikiwa ni siku chache toka kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam (SACP) Muliro Jumanne Muliro kutaka kuacha upotoshaji mitandaoni
Pia soma
- Mauaji ya Robert Mushi ndugu wa aliyekuwa Meya wa Ubungo Boniface Jacob polisi wanahusika?
- Kamanda Muliro: Malisa GJ, Boniface Jacob wakamatwe kwa tuhuma za kupotosha taarifa za kifo cha Robart Mushi
- Utata sakata la ndugu wa Boniface Jacob: Kupotea mpaka kukutwa mochwari ya polisi, Amana wapigilia msumari!
Utakuja kuwa mchawi uzeeni mwako!
2017 possibly, Waje na data mpya 2023-24.
Siku atakapouuwa mtoto wa dada yako ndio utaujua ujinga wakoChadema ni majitu majinga sana
Siyo mimi ni TwawezaUtakuja kuwa mchawi uzeeni mwako!
Unakwabwa uliyeileta twaweza hawapo hapa!Siyo mimi ni Twaweza
WaChadema ni majitu majinga sana
Mara nyingi mpumbavu hujiona kuwa ni mwelevu kama ulivyoonyesha hapa.Chadema ni majitu majinga sana
Wewe ni Malaya wa kisiasa hata akili zako zimedumaa!!Kuwa Mwana CCM ni laana toshaIpo haja, kwa yeyote mwenye malalamiko yanayohusiana na vyombo vya dola vya Kitaifa kabla ya kuandika ugoro wake mitandaoni akalazimika kwanza kwenda kwenye chombo husika kupata details sahihi, ndipo aruhusiwe kwenda kuandika ugoro wake!......
N. B, Malalamiko hasa yanayohusisha kifo /vifo.
# case closed!
°Suala hili lichukuliwe haraka sana na jeshi letu.