Boniface Jackob afika kituo cha Polisi cha Oysterbay ili akamatwe kama alivyoagiza RPC


"CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga na akina mama. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana" - Utafiti wa TWAWEZA.

Wewe upo kwenye kundi gani?
 
Huo mwili
Safi bon matagi kama sio muhalifu huogopi polisi!
 
Kuna yule kijana kule Bukoba aliyesema maneno ya uchochezi, hajaitwa hata kwenye kamati ya kata. Boniface kafuatwa jumbani yake saa Saba usiku. Hawakumkuta.
 
Baada ya kuripoti kwa RPC Kinondoni watuhumiwa Boniface Jacob na G Malisa wamepelekwa kwa Kamanda wa Kanda maalum ya DSM afande Muliro kwa mahojiano

Source: Mwananchi
 
Chadema ni majitu majinga sana
Wa
Chadema ni majitu majinga sana
Mara nyingi mpumbavu hujiona kuwa ni mwelevu kama ulivyoonyesha hapa.

Kulikuwa na haja gani ya matusi kwa chama, hata hivyo huyu Boni anapigania haki ya nduguye, Je ungekuwa wewe ndo ndugu yako ameuliwa usingepaza sauti? Acha upumbavu.
 
Wewe ni Malaya wa kisiasa hata akili zako zimedumaa!!Kuwa Mwana CCM ni laana tosha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…