Unasema ana mwili wa kizembe lakini mwenzako anasimamia misingi, hayumbi anapigania haki za watu.Alivyo na mwili wa kizembekizembe hivyo akipelekwa mahabusu si anaenda kuwa chakula
Sema tena nikufungulie mashtaka.Kwa upande wangu anayeshabikia ccm ni mpumbavu.
Twaweza ni kundi la wahuni kama wahuni wengine!Watu watakufa, viongozi wataondoka, lakini yafiti za kitaalam kama zile za TWAWEZA zitadumu na kufanyiwa rejea kwa miaka mingi.
Kwanini?Chadema ni majitu majinga sana
Kama ulivyo wewe mjinga kuabudu magufuri?Chadema ni majitu majinga sana
Siku yakikukuta huu upupu utaukumbuka tu. Haupo salama kama unavyofikiriIpo haja, kwa yeyote mwenye malalamiko yanayohusiana na vyombo vya dola vya Kitaifa kabla ya kuandika ugoro wake mitandaoni akalazimika kwanza kwenda kwenye chombo husika kupata details sahihi, ndipo aruhusiwe kwenda kuandika ugoro wake!......
N. B, Malalamiko hasa yanayohusisha kifo /vifo.
# case closed!
°Suala hili lichukuliwe haraka sana na jeshi letu.
Najua itakuwa j3 au j4Tunaomba hadi tunalia ili Boniyai apelekwe Mahakamani , Muliro atahojiwa na Kibatala , huo ndio utakuwa mwisho wake kuuza sura kwenye mechi za Simba na Yanga
Malisa ni kijana mwenye akili saana ila nadhani kuna tatizo mahali ,either ana laana ya wazazi wake ,inawezekanaje kijana mungu amekujalia akili nyingi na bado unapowasilisha mada yako lazima utumie lugha mbovu ?baada ya miaka kumi ijayo atajuta saana muda anaopoteza kutukana viongozi wa serikali.Malisa naye amekatwa au vipi?
Yule Malisa nadhani ni mwandishi was habari.
Yule ni experienced reporter. Sijui sasa ameingia katika matatizo gani.
Always nimeona yule Malisa ni very self - controlled katika kila taarifa anayoandika( isipokuwa tu anapomsema Paul Makonda).
Malisa nilikuwa naziona posting zake Facebook.
Wakati fulani Malisa alatoweka Facebook. Mi nikadhani his karma has caught up with him,na kwamba amekamatwa.
Kumbe Malisa alikuwa amekwenda kuoa.
Halafu ndie aliyelivalia njuga tatizo la yule mwanamke Kilimanjaro aliyechomwa na kisu 25 times baada ya polisi kutaka kulipuuzia like swala.
Kwa reporting yake Malisa yule mhalifu alikamatwa,lakini ukweli haukufahamika kwa sababu,kwa bahati mbaya,yule mtu e..er,alijiua mahabusu,alijinyonga na shati,au na mkanda.
Malisa ana tendency ya kuwa reckless.
Nilimwambia siku moja,"Calm down. You may be right. But these people have got goons who can harm you."
Lakini,mimi nadhani inaleta taharuki mti kama huyu Malisa madhara yakimfika.
Huyu boya wenu(Boniface) ule mwili sio wa binadamu,yaani yuko kama ngombe mwenye mimba aiseeUnasema ana mwili wa kizembe lakini mwenzako anasimamia misingi, hayumbi anapigania haki za watu.
Turidi kwako sasa, una mwili wa gym, umebinuka kiuno, huna unachosimamia zaidi ya kusifia kuwa Bashite na mama wanaupiga mwingi.
Kwa hiyo Lema na Mdude wana akili ?"CCM inaungwa mkono zaidi na watu wajinga na akina mama. CHADEMA inaungwa mkono zaidi na wasomi na vijana" - Utafiti wa TWAWEZA.
Wewe upo kwenye kundi gani?
Hivi chama kimeruhusu wapuuzi kama Lema na Mdude kuwa wasemaji wa chama unategema nini?Chadema ni majitu majinga sana
Kwa hiyo wewe hivyo livyo ukisimama na ukitembea kiuno na matako yanavyokuwa vimejibinua ndiyo inavyotakiwa iwe?Huyu boya wenu(Boniface) ule mwili sio wa binadamu,yaani yuko kama ngombe mwenye mimba aisee
Una utapia mlo wa akili wewe.unadhani watu wote wanashikiwa akili kama wewe.Siku yakikikuta ndio utajua akili ulikua huna.Dhana ya negativity mliyomezeshwa na viongozi wenu chadoma, ni shida, hamuwezi ona kama kuna lolote Zuri, maishani mwenu!
Ukishamezeshwa chadema pill, inaondoa ufahamu kwanza, inakupa msononeko wa moyo, inakupa ujuaji mwingi hata kama ni zezeta, inakupa uwana harakati njaa, once you take a pill, ubishi usio na maana ndipo huanzia!
Aina ya vidonge!
-chadema super argue pill drugs- 1
-chadema moderate pill, hii ni ya wastani, hiyo namba moja ndiyo hatari sana.
Kwa upande wangu anayeshabikia ccm ni MPUMBAVU.Sema tena nikufungulie mashtaka.
Hala hala mkuu, usijejikuta actually mpumnavu ni wewe.Kwa upande wangu anayeshabikia ccm ni MPUMBAVU.
Hayo ndiyo maisha ya mashabiki wa ccm wakati wenzao wanakula nchi ndiyo maana nimewatunuku jina hilo pendwa,ndilo linalowafaa.Hala hala mkuu, usijejikuta actually mpumnavu ni wewe.
Hapo ulipo najua hata upau huna mfukoni, unaishi mbavu za mbwa, unashindia chipsi dume, ukiumwa unaenda kwa mganga wa kienyeji, kupanda ndege kwako ndoto!
Sasa mpumbavu nani hapo, jipime!
Tunataka uwe kama sisi, wewe endelea wa wapumbavu halisi wenzio katika hicho chama cha maandamano..
Kwa kuona hilo, sasa jijibu mwenyewe, mpumbavu halisi nani?Hayo ndiyo maisha ya mashabiki wa ccm wakati wenzao wanakula nchi ndiyo maana nimewatunuku jina hilo pendwa,ndilo linalowafaa.
alimtukana nani we mbusiMalisa ni kijana mwenye akili saana ila nadhani kuna tatizo mahali ,either ana laana ya wazazi wake ,inawezekanaje kijana mungu amekujalia akili nyingi na bado unapowasilisha mada yako lazima utumie lugha mbovu ?baada ya miaka kumi ijayo atajuta saana muda anaopoteza kutukana viongozi wa serikali.