Ukiona hakuna haliyekamatwa kwa matukio yote hayo jua kuwa hakuna wa kujikamata.Lakini, hebu kwanza:
Hivi lengo au malengo ya utekaji huu hasa ni nini, kuna anaye juwa?
Hawa wanao tekwa, kuna mambo gani yanayo wafanya watekwe? Hadi hii leo sijui lengo la kumteka yule mzee wa CHADEMA, mzee Kibao, hadi kuamriwa aondolewe uhai moja kwa moja!
Kama hawa wanao tekwa wanayo makosa; kwa nini wasikamatwe tu kwa taratibu zilizopo kwa kuwakamata watu wanao hisiwa kufanya makosa?
Kwa nini wauawe, au wateswe?
Hivi huko serikalini kuna watu wa aina gani safari hii
Huku wenyewe wakijiaminisha kwamba wananchi wana waelewa vizuri wanacho waeleza wao!Ukiona hakuna haliyekamatwa kwa matukio yote hayo jua kuwa hakuna wa kujikamata.
Mimi ninge shukuru sana kama CHADEMA wange anza kuwakumbuka na kuwa enzi hawa wote walio poteza maisha yao na wote walio pitia kwenye maumivu wakiwa kwenye mchango wao ndani ya chama au hata nje kupambana na hawa watawala.Lakini ukifikiria vizuri, kufanya hivyo ni kuwasaliti wale ambao tayari walishatekwa na kuuawa.
Wafanye hivyo sana, na familia zao wazikumbuke.Mimi ninge shukuru sana kama CHADEMA wange anza kuwakumbuka na kuwa enzi hawa wote walio poteza maisha yao na wote walio pitia kwenye maumivu wakiwa kwenye mchango wao ndani ya chama au hata nje kupambana na hawa watawala.
Mashujaa wa chama ndio msukumo wa kusonga mbele kuondokana na maovu haya. CHADEMA wanahitaji kila mara kuwaheshimu na kuwa enzi watu hawa. Sasa hivi hawana lolote la kuonyesha upendo huo.
Ila huyu kaka anapitia mateso ktk harakati zake, si aachane tyuu na siasa zitakuja mpa matatizo makubwa zaidi au Kifo kabisa.
Namuonea huruma, [emoji25][emoji25][emoji25]