ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Yote yote yawezekana !Kwamba wanamchafua na yeye yuko kimya?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yote yote yawezekana !Kwamba wanamchafua na yeye yuko kimya?
angewezaje kuomba bodaboda wakati mtu yupo hii bin taabani,una hokikosa ni taarifa sahihi ktk wakati sahihi,jitahidi uwe na vyanzo vya habari ambayo vinawaledi kama vyanzo yako muhimu.Hii Tanzania hujui umuamini nani? kwanza mimi napinga lolote kuhusu haya mambo siungi mkono kabisa lakini kuna maswali ya kujiuliza. Mtu akiokotwa kawaida anapelekwa Hospital sio ofisi za chama usiku na kuna sehemu nimesoma kuwa katupwa akasimamisha boda na kuomba impeleke ofisi ya chama hapa tunaambiwa mahututi hata kuongea hawezi sasa mtu mahututi kapandaje boda. Tukemee hii tabia lakini pia tukemee taarifa za kupotosha maana watu wanatumia hii kama kick za kisiasa pia. nchi hii tunasema kufa kufaana.
Gari gani ilikutwa gereji mkuu?,hapo act hamna cctv? mbona zitto anatuambia gari limekutwa gereji? hapo act hamna hata genge la kahawa?
Vyombo vya usalama vipo Madaktari wapo na Waandishi wa habari wapo kama mashuhuda wanaoweza kutufahamisha Ukweli ni upi !!Hii Tanzania hujui umuamini nani? kwanza mimi napinga lolote kuhusu haya mambo siungi mkono kabisa lakini kuna maswali ya kujiuliza. Mtu akiokotwa kawaida anapelekwa Hospital sio ofisi za chama usiku na kuna sehemu nimesoma kuwa katupwa akasimamisha boda na kuomba impeleke ofisi ya chama hapa tunaambiwa mahututi hata kuongea hawezi sasa mtu mahututi kapandaje boda. Tukemee hii tabia lakini pia tukemee taarifa za kupotosha maana watu wanatumia hii kama kick za kisiasa pia. nchi hii tunasema kufa kufaana.
Vizuri mnoTulishaambiwa hizo ni drama
Mtu wa kwanza kukuchafua ni wewe mwenyewe kisha watu wengineKwamba wanamchafua na yeye yuko kim
🤣🤣🤣🤣 Khaa nyieeJamani mpeni tu hiyo mitano atatumaliza huyu.
kuna uhusiano gani kati ya Tarime na utekaji wa Abdul Nondo?Hayo mauaji yamefanyika Dar!
Je kule tarime hali ikoje?!
Wazee gani?!..mimi niko kwenye 40s,siwezi pigia kura chademaKama hakuna picha za foleni za vijana, hao wapiga kura 31m+ waliojoandikisha walitokea wapi, ama nchi hii ina wazee 31m? Au mmejisahau kwa ile idadi ya kupika?
Kama anaamini ni Mchengerwa wewe ni sababu zipi zinazokufanya umpinge, kama wamezinguana Twitter na huyo fala Mchengerwa jinsi system inavyoendeshwa ki-Mafia hilo linawezekana kuwa kahusika kama suala zima si drama from word go.Usimchonganishe mchengerwa,acha ujinga
Mimi sina sababu ya kutafuta vyanzo sio kazi yangu nimesema nimesoma sehemu kama nilivyosoma hapa. wenye kazi zao watatoa tu ila kwangu mimi ndio kwanza najuwa kuna mtu anaitwa Nondo kwa kusoma tu hizi taarifa maana hata sijui ni nani haswa.angewezaje kuomba bodaboda wakati mtu yupo hii bin taabani,una hokikosa ni taarifa sahihi ktk wakati sahihi,jitahidi uwe na vyanzo vya habari ambayo vinawaledi kama vyanzo yako muhimu.
Nasubiri tamko wa wazee wa Mwandiga!Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.
Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida.
===============
Kwa upande mwingine Malisa ametoa maelezo mengine kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram
Wasamaria wema" waliomuokota Nondo Coco Beach kwanini wamempeleka ofisini badala ya hospitali? Inaelezwa Nondo amejeruhiwa vibaya na hawezi kutembea wala kuongea.
"Sasa wamempeleka ofisi za chama akafanye nini? Anyway, its a good thing kama chama kimechukua initiatives za kimkimbiza Aghakhan kwa matibabu. Kwa sasa kipaumbele kiwe afya yake kwanza, Hayo mengine tutayajua vizuri akishapona".
Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.
View attachment 3166864
Yes na ukija kujulikana ukweli ni vizuri watu wenye kuleta taarifa za uwongo kuadhibiwa kisheria. Mimi msiba wa mtu tu si post nasubiri wenye msiba wa post, kama kazimia tuuuuVyombo vya usalama vipo Madaktari wapo na Waandishi wa habari wapo kama mashuhuda wanaoweza kutufahamisha Ukweli ni upi !!