Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

angewezaje kuomba bodaboda wakati mtu yupo hii bin taabani,una hokikosa ni taarifa sahihi ktk wakati sahihi,jitahidi uwe na vyanzo vya habari ambayo vinawaledi kama vyanzo yako muhimu.
 
Vyombo vya usalama vipo Madaktari wapo na Waandishi wa habari wapo kama mashuhuda wanaoweza kutufahamisha Ukweli ni upi !!
 
Kama hakuna picha za foleni za vijana, hao wapiga kura 31m+ waliojoandikisha walitokea wapi, ama nchi hii ina wazee 31m? Au mmejisahau kwa ile idadi ya kupika?
Wazee gani?!..mimi niko kwenye 40s,siwezi pigia kura chadema
 
Nani aliye nyuma ya haya?, na ni kwanini wanatekwa kwani wameongea nini kibaya,
 
angewezaje kuomba bodaboda wakati mtu yupo hii bin taabani,una hokikosa ni taarifa sahihi ktk wakati sahihi,jitahidi uwe na vyanzo vya habari ambayo vinawaledi kama vyanzo yako muhimu.
Mimi sina sababu ya kutafuta vyanzo sio kazi yangu nimesema nimesoma sehemu kama nilivyosoma hapa. wenye kazi zao watatoa tu ila kwangu mimi ndio kwanza najuwa kuna mtu anaitwa Nondo kwa kusoma tu hizi taarifa maana hata sijui ni nani haswa.
 
Nasubiri tamko wa wazee wa Mwandiga!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…