Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Boniface Jacob: Abdul Nondo kapatikana, yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote, hata kuongea ni shida

Watateka,kutesa na hata kuua wangapi?
Lakini, hebu kwanza:

Hivi lengo au malengo ya utekaji huu hasa ni nini, kuna anaye juwa?

Hawa wanao tekwa, kuna mambo gani yanayo wafanya watekwe? Hadi hii leo sijui lengo la kumteka yule mzee wa CHADEMA, mzee Kibao, hadi kuamriwa aondolewe uhai moja kwa moja!

Kama hawa wanao tekwa wanayo makosa; kwa nini wasikamatwe tu kwa taratibu zilizopo kwa kuwakamata watu wanao hisiwa kufanya makosa?
Kwa nini wauawe, au wateswe?

Hivi huko serikalini kuna watu wa aina gani safari hii
 
Lakini, hebu kwanza:

Hivi lengo au malengo ya utekaji huu hasa ni nini, kuna anaye juwa?

Hawa wanao tekwa, kuna mambo gani yanayo wafanya watekwe? Hadi hii leo sijui lengo la kumteka yule mzee wa CHADEMA, mzee Kibao, hadi kuamriwa aondolewe uhai moja kwa moja!

Kama hawa wanao tekwa wanayo makosa; kwa nini wasikamatwe tu kwa taratibu zilizopo kwa kuwakamata watu wanao hisiwa kufanya makosa?
Kwa nini wauawe, au wateswe?

Hivi huko serikalini kuna watu wa aina gani safari hii
Huyu dogo alimkosoa Mchengerwa kulea Twitter X
 
Hatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.

Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida

Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.

MbuziView attachment 3166864
Mbuzi wa kafara
IMG-20241201-WA0068.jpg
 
Back
Top Bottom