ukawa dona
JF-Expert Member
- Feb 8, 2023
- 516
- 887
Hawa SI wapo serikalini ni wamoja angekuwa CHADEMA asingepatkana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya kuua kidogo kidogo hydrogen peroxideIpi?
Lakini, hebu kwanza:Watateka,kutesa na hata kuua wangapi?
George
🤣🤣🤣🤣Jamani mpeni tu hiyo mitano atatumaliza huyu.
Tanganyika ni koloni la wa zenji.Watanganyika wanatawaliwa na Abdul na mume wa Wanu!! Matanganyika yapo busy na mpira!!!
Hydrogen peroxide ni ya kuoshea vidondaYa kuua kidogo kidogo hydrogen peroxide
Huyu dogo alimkosoa Mchengerwa kulea Twitter XLakini, hebu kwanza:
Hivi lengo au malengo ya utekaji huu hasa ni nini, kuna anaye juwa?
Hawa wanao tekwa, kuna mambo gani yanayo wafanya watekwe? Hadi hii leo sijui lengo la kumteka yule mzee wa CHADEMA, mzee Kibao, hadi kuamriwa aondolewe uhai moja kwa moja!
Kama hawa wanao tekwa wanayo makosa; kwa nini wasikamatwe tu kwa taratibu zilizopo kwa kuwakamata watu wanao hisiwa kufanya makosa?
Kwa nini wauawe, au wateswe?
Hivi huko serikalini kuna watu wa aina gani safari hii
Sababu moja ni hii:-Hivi lengo au malengo ya utekaji huu hasa ni nini, kuna anaye juwa?
Hili suala hovyo sana,nondo ana madhara gani?!..mambo gani haya!?..tumekua ujerumani mashariki!!Yani kila ukijitahidi kuwaza huo uovu uwe positive unashindwa
hivi hata aibu saivi ya kufanya umafia waziwazi imeondoka jameni
kweli UBAYA UBWELA
Usimchonganishe mchengerwa,acha ujingaHuyu dogo alimkosoa Mchengerwa kulea Twitter X
Unaanza kuingiza ufalla kenge wewe.Usimchonganishe mchengerwa,acha ujinga
Aisee,George
Sasa ikipitishwa kwenye mishipa inasafisha nini?Hydrogen peroxide ni ya kuoshea vidonda
Mbuzi wa kafaraHatimaye kijana Nondo kapatikana muda huu,akiwa ametupwa nje ya Makao Makuu ya Ofisi za ACT.
Taarifa za awali zinasema yupo Mahututi hajiwezi kwa lolote ,hata kuongea ni shida
Soma Pia: Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulikana katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli
Source
Boniphace Jacob
Ex mayor.
MbuziView attachment 3166864
Uzi upo humu na Video ya mkewe akisimulia mumewe PoliCCM walivyomuua mbele yake na mtoto wake kwa kumpiga risasi 4Aisee,
Huyo George alikuwa mwanasiasa wa upinzani?
Hata mafuta ya taa yakipitishwa kwenye mishipa ni shida,supu ya ng'ombe ikipitishwa kwenye mishipa ni shida,kwa nini uliitaja hydrogen peroxide,una uzoefu nayo kwa kazi hizo?Sasa ikipitishwa kwenye mishipa inasafisha nini?
At least huyu kapatikana haraka tena akiwa bado anapumuaInasikitisha sana ,sasa wamepata faida gani? Wamemuua kibao ,wamemuua Ben saanane then?? Uchafuzi wanajipakulia minyama wao ,sasa si bora tu waendelee kufanya uchafuzi huku wananchi wakibaki salama?