Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana mkuu.Watanganyika wanatawaliwa na Abdul na mume wa Wanu!! Matanganyika yapo busy na mpira!!!
Wewe jua tu hydrogen peroxide hayo mengine waachie wenyeweHata mafuta ya taa yakipitishwa kwenye mishipa ni shida,supu ya ng'ombe ikipitishwa kwenye mishipa ni shida,kwa nini uliitaja hydrogen peroxide,una uzoefu nayo kwa kazi hizo?
Inahusiana nini na uchonganishi wako?..huko mitaani hivyo vyama vyenu vya upinzani vina matawi? Vijana ambao ndiyo ngome ya upinzani walijiandikisha?..unaweza weka picha za foleni za kura zenye vijana wengi?Unaanza kuingiza ufalla kenge wewe.
Nani amesimamia uharibifubwa uchaguzi kama sio mchengerwa
Wenyewe ukiwemo na wewe?Wewe jua tu hydrogen peroxide hayo mengine waachie wenyewe
Hili suala baya sana,nchi haitakiwi kuwa hiviNgoja tuone mwisho wa haya utakuwa vipi
Zanzibar ni mkoa wa TanzaniaSema Watanganyika.
Utekaji haupo huku Zanzibar
Mimi siko hukoWenyewe ukiwemo na wewe?
Lakini kura huwa hata hazihesabiwi wakati wa kutangaza mshindi.Sababu moja ni hii:-
Kupunguza nguvu ya upinzani kabla ya mtanange wa October, 2025 ili kujihakikishia "Ushindi wa kishindo".
Hahaha,Zanzibar ni mkoa wa Tanzania
Kesho naamka naye kwa mahojiano ili tuwajue wahuni wa taifa hiliDuh,,, hawajamfanya chochote “baya” kweli, awahishwe kwenye vipimo.
Hofu yao ni kelele.Lakini kura huwa hata hazihesabiwi wakati wa kutangaza mshindi.
Hakuna haja ya kuogopa upinzani
Familia zao utazionea tu bureMe nimesema kiundwe kikundi cha kufuatilia watekaji na familia zao.Wakijulikana ni kuwachoma moto wao na familia zao mchana kweupe.
Aiseee 😳😳Tumejulishwa kuwa Mwenyekiti wa Vijana Taifa Ngome ya Vijana, Abdul Nondo amefichwa kituo cha polisi Gogoni, Kibamba Dar es Salaam.
Tumefika Kituoni, ingawa Polisi wamekataa, tumekuta Landcruiser iliyotumika kumteka Nondo ikiwa inabadilishwa number plates. (kutoka zile za IST zilizotangazwa na Msemaji wa polisi na kuwekwa zingine).ZittoView attachment 3166880
Wakishakuteka lazima wale parachichiDuh,,, hawajamfanya chochote “baya” kweli, awahishwe kwenye vipimo.