Pre GE2025 Boniface Jacob anawazidi viongozi waandamizi wa CCM ushawishi na kukubalika: Maandamano yake yanazidi mapokezi ya CPA Makalla

Pre GE2025 Boniface Jacob anawazidi viongozi waandamizi wa CCM ushawishi na kukubalika: Maandamano yake yanazidi mapokezi ya CPA Makalla

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Yaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni.

Idadi ya watu alioandamana nao haikutegemewa hasa ikizingatiwa alidrop kwa muda kwenye siasa za harakati akaanza kufuga kuku.

Maandamano yako yanazidi mbali mapokezi ya Nchimbi na Makala katika maeneo mengi nchni.

Nikilinganisha nguvu aliyonayo na ushawishi wa akina Kitila, Slaa na Gwajini ni wazi kwamba Jiji la DSM 2025 litarejeshwa upinzani.

Lakini pia ushawishi wake kanda ya pwani unatoa uhakika wa kura nyingi za urais jambo ambalo lina kila dalili kwamba uchaguzi in terms ya kura unaweza kuwa mgumu sana kwenye nafasi ya Urais

Tukumbuke tayari Kura za kanda ya ziwa zimegawanyika, kaskazini zipo based upinzani na kanda ya juu kusini resistance imekuwa kubwa kwa chama tawala.

Nimewasilisha analysis hii ndogo kwa wana mikakati waweze kuanza kuona namna ya kupanga safu sahihi kwa wakati sahihi. CCM lazima wakubali sasa waruhusu watia nia waingie mtaani kwa lengo la kuona nani anakubalika.

Hongera Bony Yai

PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
 
Labda kwa kufichua tu ni kwamba, Maandamano hayo yameandaliwa kwa siku 3 tu, kulikuwa na wazo kwamba aende kimya kimya lakini Wadau wakasema ni lazima asindikizwe, shida ni kwa wasindikizaji kujitokeza kwa wingi, ikabidi tuombe Ulinzi wa Polisi ( Ikumbukwe kwamba hatukuomba kibali cha Maandamano, tuliomba kulindwa)

Nimeshangazwa na Umati mkubwa kujitokeza vile
 
Unasubili tukuombe picha GT.
Hizi hapa

Screenshot_2024-09-05-13-55-14-1.png
Screenshot_2024-09-05-13-54-23-1.png
Screenshot_2024-09-05-13-53-44-1.png
 
Yaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni.

Idadi ya watu alioandamana nao haikutegemewa hasa ikizingatiwa alidrop kwa muda kwenye siasa za harakati akaanza kufuga kuku.

Maandamano yako yanazidi mbali mapokezi ya Nchimbi na Makala katika maeneo mengi nchni.

Nikilinganisha nguvu aliyonayo na ushawishi wa akina Kitila, Slaa na Gwajini ni wazi kwamba Jiji la DSM 2025 litarejeshwa upinzani.

Lakini pia ushawishi wake kanda ya pwani unatoa uhakika wa kura nyingi za urais jambo ambalo lina kila dalili kwamba uchaguzi in terms ya kura unaweza kuwa mgumu sana kwenye nafasi ya Urais

Tukumbuke tayari Kura za kanda ya ziwa zimegawanyika, kaskazini zipo based upinzani na kanda ya juu kusini resistance imekuwa kubwa kwa chama tawala.

Nimewasilisha analysis hii ndogo kwa wana mikakati waweze kuanza kuona namna ya kupanga safu sahihi kwa wakati sahihi. CCM lazima wakubali sasa waruhusu watia nia waingie mtaani kwa lengo la kuona nani anakubalika.

Hongera Bony Yai
kufilisika hoja na kufikia ukomo wa mawazo mapya na fikra mbdala ni kitu mbaya sana aise 🤣

unaweza kufananisha mambo ya ajabu sana. eti uzuri wa mbingu umezidi ardhi wakati hata havifanani,dah 🤣
 
Gangwe tu huyo...

Pale mahakamani katika ile kesi ya kumfukuza Zitto Kabwe CDM walipanga mipango ya ajabu sana dhidi ya huyo aliyekuwa mwanachama wenzao....

Toka siku hiyo....ninamuona kama mtu wa ajabu sana....

Awadanganye ninyi MISUKURE....
 
Ujumbe uwafikie watekaji kuwa,

Hayupo wa kututisha katika Nchi yetu wenyewe ikiwa hatukutenda uhalifu zaidi ya kudai HAKI .

Aluta continua
Wanataka milioni 3 za fidia majambazi mivuta bangi ya ajabu sana.....
 
CCM ibadili mgombea wa nafasi ya juu kuliko zote Kwa USALAMA wake na mustakabali wake huko mbeleni.

Ni hayo tu .
CCM ina think tanks akili kama nyuki....

Peleka uzwazwa huko ufipa....
 
Ulikuwepo siku ile pale mahakamani mkitaka kumgombania na kumla nyama yule mwenzenu wa zamani?!!
Mamluki Zitto alitimuliwa Chadema kwa Usaliti akishirikiana na Samson Mwigamba na Msaliti Kitilla Mkumbo, Waraka wao ulianikwa hadharani kila mwenye macho aliona
 
Mamluki Zitto alitimuliwa Chadema kwa Usaliti akishirikiana na Samson Mwigamba na Msaliti Kitilla Mkumbo, Waraka wao ulianikwa hadharani kila mwenye macho aliona
Siusemei umamluki wake na tuhuma zenu kwake...

Ninasemea jinsi "magangwe" walivyotaka kumdhuru kwa penseli ,shazia ,peni pale nje aliposubiriwa atoke....amshukuru Mungu wake kwa malaika kumuonyesha atokee mlango wa pilato....[emoji1787]

Unabisha hayakutokea hayo?!!!
 
Back
Top Bottom