Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
SosopiNa Tale tale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
SosopiNa Tale tale
[emoji1787][emoji1787]Mwambieni afanye mazoezi apunguze kitambi.
Mtu asiyeweza kutunza mwili wake ataaminikaje wa watu?
Kwa sababu wewe ni mkenya wala sishangai kuitukana CCM na kumsifu Kenyatta aliyeamua KUJIGAWIA NCHI na ndugu zake "gikuyu"....Ungejua kuwa CCM ndio chama kinachoongoza barani Afrka kwa kuwa na utitiri wa mazwazwa ungefuta kauli yako hii.
CCM ndio ile maiti aliyokuwa anaisema marehemu Jomo Kenyatta kwa mwalimu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkapa hakuwa na Tumbo reefu hivyo alipokuwa kijana. Kijana wa miaka 38 anakuwa na tumbo refu hivyo. 😀 😀 😀
....misukure ya DJ.Waleo waliokubali kuongozwa Disco Joker ndio mazwazwa nabari one
Chang'ombe si ofisi za CCM....usituchanganye na watu wasiotuhusu....Akili kama nyuki za kuteka na kuuwa watu kwenye Karakana chang'ombe.
Umewahi sikia nyumbu wana akili?Yaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni.
Idadi ya watu alioandamana nao haikutegemewa hasa ikizingatiwa alidrop kwa muda kwenye siasa za harakati akaanza kufuga kuku.
Maandamano yako yanazidi mbali mapokezi ya Nchimbi na Makala katika maeneo mengi nchni.
Nikilinganisha nguvu aliyonayo na ushawishi wa akina Kitila, Slaa na Gwajini ni wazi kwamba Jiji la DSM 2025 litarejeshwa upinzani.
Lakini pia ushawishi wake kanda ya pwani unatoa uhakika wa kura nyingi za urais jambo ambalo lina kila dalili kwamba uchaguzi in terms ya kura unaweza kuwa mgumu sana kwenye nafasi ya Urais
Tukumbuke tayari Kura za kanda ya ziwa zimegawanyika, kaskazini zipo based upinzani na kanda ya juu kusini resistance imekuwa kubwa kwa chama tawala.
Nimewasilisha analysis hii ndogo kwa wana mikakati waweze kuanza kuona namna ya kupanga safu sahihi kwa wakati sahihi. CCM lazima wakubali sasa waruhusu watia nia waingie mtaani kwa lengo la kuona nani anakubalika.
Hongera Bony Yai
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Poyoyo yule anayetaka maandamano yaongozwe na watoto wa wenzake ila si Rodney mla bata Capetown.....Wale waliokubali kuongozwa na muigizaji wa kizmkaz ndio mapoyoyo.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji116] [emoji116] [emoji116]
View attachment 3088376
Ipambane na nani na wakati ndiyo inayoongoza serikali ?!!MaCCM ni mazezeta sana. Yanataka kupambana na kila mtu lakini hayataweza.
Sishangai akili mgando za kiccm kusema hayaKwa sababu wewe ni mkenya wala sishangai kuitukana CCM na kumsifu Kenyatta aliyeamua KUJIGAWIA NCHI na ndugu zake "gikuyu"....
Mafwele Wateke na hawa
Shida sio kubadili ,shida nani mwenye mvuto kwa wananchi kutoka ccm?CCM ibadili mgombea wa nafasi ya juu kuliko zote Kwa USALAMA wake na mustakabali wake huko mbeleni.
Ni hayo tu .
MiCCM ni mitutusa fulani hivi iliyokosa mwelekeo na dira.Ipambane na nani na wakati ndiyo inayoongoza serikali ?!!
Utaacha lini uzebe?!!
Hakuna jambo la ajabu hapo ,huyu ni Mpya kwenye siasa na kipya kinyemi.Yaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni.
Idadi ya watu alioandamana nao haikutegemewa hasa ikizingatiwa alidrop kwa muda kwenye siasa za harakati akaanza kufuga kuku.
Maandamano yako yanazidi mbali mapokezi ya Nchimbi na Makala katika maeneo mengi nchni.
Nikilinganisha nguvu aliyonayo na ushawishi wa akina Kitila, Slaa na Gwajini ni wazi kwamba Jiji la DSM 2025 litarejeshwa upinzani.
Lakini pia ushawishi wake kanda ya pwani unatoa uhakika wa kura nyingi za urais jambo ambalo lina kila dalili kwamba uchaguzi in terms ya kura unaweza kuwa mgumu sana kwenye nafasi ya Urais
Tukumbuke tayari Kura za kanda ya ziwa zimegawanyika, kaskazini zipo based upinzani na kanda ya juu kusini resistance imekuwa kubwa kwa chama tawala.
Nimewasilisha analysis hii ndogo kwa wana mikakati waweze kuanza kuona namna ya kupanga safu sahihi kwa wakati sahihi. CCM lazima wakubali sasa waruhusu watia nia waingie mtaani kwa lengo la kuona nani anakubalika.
Hongera Bony Yai
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano