Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Hao wahuni akina Marco Zedi ,Bashiri Zendenga ,Sumuni Abibu ,Aisha Ranaka...na magenge yao....Kwani kulikuwa na maandamano ? Sisi wa Namanyere muwe mnatujuza kwa kuandika habari kamili.
Kuteka watu wasio na hatia ndio akili sio!!CCM ina think tanks akili kama nyuki....
Peleka uzwazwa huko ufipa....
Hawa chadema huwa hawana DogoYaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni.
Idadi ya watu alioandamana nao haikutegemewa hasa ikizingatiwa alidrop kwa muda kwenye siasa za harakati akaanza kufuga kuku.
Maandamano yako yanazidi mbali mapokezi ya Nchimbi na Makala katika maeneo mengi nchni.
Nikilinganisha nguvu aliyonayo na ushawishi wa akina Kitila, Slaa na Gwajini ni wazi kwamba Jiji la DSM 2025 litarejeshwa upinzani.
Lakini pia ushawishi wake kanda ya pwani unatoa uhakika wa kura nyingi za urais jambo ambalo lina kila dalili kwamba uchaguzi in terms ya kura unaweza kuwa mgumu sana kwenye nafasi ya Urais
Tukumbuke tayari Kura za kanda ya ziwa zimegawanyika, kaskazini zipo based upinzani na kanda ya juu kusini resistance imekuwa kubwa kwa chama tawala.
Nimewasilisha analysis hii ndogo kwa wana mikakati waweze kuanza kuona namna ya kupanga safu sahihi kwa wakati sahihi. CCM lazima wakubali sasa waruhusu watia nia waingie mtaani kwa lengo la kuona nani anakubalika.
Hongera Bony Yai
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
HahahKuteka watu wasio na hatia ndio akili sio!!
AiseeVijana Wameamka Taifa LINARUDI!!!
ni kimbunga kila kona KINAKUJA.....
Na Tale taleSteve Nyerere na Shilole watashauri nini?
HahahCCM ibadili mgombea wa nafasi ya juu kuliko zote Kwa USALAMA wake na mustakabali wake huko mbeleni.
Ni hayo tu .
Eti Bwana kaama alivyokuwa Mkapa sijui ccm ilimwamini vipi. Mimi mwenyewe nashangaaMwambieni afanye mazoezi apunguze kitambi.
Mtu asiyeweza kutunza mwili wake ataaminikaje wa watu?
Ungejua kuwa CCM ndio chama kinachoongoza barani Afrka kwa kuwa na utitiri wa mazwazwa ungefuta kauli yako hii.CCM ina think tanks akili kama nyuki....
Peleka uzwazwa huko ufipa....
Mkapa hakuwa na Tumbo reefu hivyo alipokuwa kijana. Kijana wa miaka 38 anakuwa na tumbo refu hivyo. π π πEti Bwana kaama alivyokuwa Mkapa sijui ccm ilimwamini vipi. Mimi mwenyewe nashangaa
Waleo waliokubali kuongozwa Disco Joker ndio mazwazwa nabari oneUngejua kuwa CCM ndio chama kinachoongoza barani Afrka kwa kuwa na utitiri wa mazwazwa ungefuta kauli yako hii.
CCM ndio ile maiti aliyokuwa anaisema marehemu Jomo Kenyatta kwa mwalimu
Kila Chama kingetamani kuwa na viongozi shupavu walio na ukakamavu na ushawishi kwa wanachama na wananchi kwa ujumla.Yaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni.
Idadi ya watu alioandamana nao haikutegemewa hasa ikizingatiwa alidrop kwa muda kwenye siasa za harakati akaanza kufuga kuku.
Maandamano yako yanazidi mbali mapokezi ya Nchimbi na Makala katika maeneo mengi nchni.
Nikilinganisha nguvu aliyonayo na ushawishi wa akina Kitila, Slaa na Gwajini ni wazi kwamba Jiji la DSM 2025 litarejeshwa upinzani.
Lakini pia ushawishi wake kanda ya pwani unatoa uhakika wa kura nyingi za urais jambo ambalo lina kila dalili kwamba uchaguzi in terms ya kura unaweza kuwa mgumu sana kwenye nafasi ya Urais
Tukumbuke tayari Kura za kanda ya ziwa zimegawanyika, kaskazini zipo based upinzani na kanda ya juu kusini resistance imekuwa kubwa kwa chama tawala.
Nimewasilisha analysis hii ndogo kwa wana mikakati waweze kuanza kuona namna ya kupanga safu sahihi kwa wakati sahihi. CCM lazima wakubali sasa waruhusu watia nia waingie mtaani kwa lengo la kuona nani anakubalika.
Hongera Bony Yai
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Akili kama nyuki za kuteka na kuuwa watu kwenye Karakana chang'ombe.CCM ina think tanks akili kama nyuki....
Peleka uzwazwa huko ufipa....
Wale waliokubali kuongozwa na muigizaji wa kizmkaz ndio mapoyoyo.Waleo waliokubali kuongozwa Disco Joker ndio mazwazwa nabari one
π€£ π€£ π€£ π€£ π π πWale waliokubali kuongozwa na muigizaji wa kizmkaz ndio mapoyoyo.
MaCCM ni mazezeta sana. Yanataka kupambana na kila mtu lakini hayataweza.Yaweza kuwa ni maandalizi makubwa, mikakati au ushawishi alionao Bony Yai ila ukweli ni kwamba amewashtua sana wabunge wa Kanda ya Pwani waliopo Bungeni.
Idadi ya watu alioandamana nao haikutegemewa hasa ikizingatiwa alidrop kwa muda kwenye siasa za harakati akaanza kufuga kuku.
Maandamano yako yanazidi mbali mapokezi ya Nchimbi na Makala katika maeneo mengi nchni.
Nikilinganisha nguvu aliyonayo na ushawishi wa akina Kitila, Slaa na Gwajini ni wazi kwamba Jiji la DSM 2025 litarejeshwa upinzani.
Lakini pia ushawishi wake kanda ya pwani unatoa uhakika wa kura nyingi za urais jambo ambalo lina kila dalili kwamba uchaguzi in terms ya kura unaweza kuwa mgumu sana kwenye nafasi ya Urais
Tukumbuke tayari Kura za kanda ya ziwa zimegawanyika, kaskazini zipo based upinzani na kanda ya juu kusini resistance imekuwa kubwa kwa chama tawala.
Nimewasilisha analysis hii ndogo kwa wana mikakati waweze kuanza kuona namna ya kupanga safu sahihi kwa wakati sahihi. CCM lazima wakubali sasa waruhusu watia nia waingie mtaani kwa lengo la kuona nani anakubalika.
Hongera Bony Yai
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Boniface Jacob kurejesha fomu ya kugombea Uenyekiti wa Kanda ya Pwani tarehe 05/09/2024 kwa Maandamano
Wazee wa siasa za matukio...[emoji1787]Hawa chadema huwa hawana Dogo
[emoji7]Hawa chadema huwa hawana Dogo