Pre GE2025 Boniface Jacob anawazidi viongozi waandamizi wa CCM ushawishi na kukubalika: Maandamano yake yanazidi mapokezi ya CPA Makalla

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ungejua kuwa CCM ndio chama kinachoongoza barani Afrka kwa kuwa na utitiri wa mazwazwa ungefuta kauli yako hii.
CCM ndio ile maiti aliyokuwa anaisema marehemu Jomo Kenyatta kwa mwalimu
Kwa sababu wewe ni mkenya wala sishangai kuitukana CCM na kumsifu Kenyatta aliyeamua KUJIGAWIA NCHI na ndugu zake "gikuyu"....
 
Umewahi sikia nyumbu wana akili?
Alikoelekea mmoja wote ni huko huko kama mpeperuko wa bendera.
 
Hakuna jambo la ajabu hapo ,huyu ni Mpya kwenye siasa na kipya kinyemi.

Lakini mtu kama Mimi Ili unishawishi yataka hoja Zenye mantiki sio maneno meeeeengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…