Boniface Jacob apata dhamana baada ya kushikiliwa mahabusu kwa takriban siku 19

Boniface Jacob apata dhamana baada ya kushikiliwa mahabusu kwa takriban siku 19

Chachu Ombara

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
6,067
Reaction score
10,938
Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam anayesikiliza kesi hiyo anatarajiwa kusoma hukumu ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Boniface Jacob (Boni Yai).

Ingawa mashtaka yanayomkabili yana dhamana, lakini tangu aliposomewa mashtakata yanayomkabili, Septemba 19, 2024, dhamana yake imekuwa kizungumkuti kutokana na maombi yaliyotolewa na Serikali ya kuzuia dhamana yake.

Boni Yai anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

UPDATE


MAHAKAMA ya Hakimu mkazi Kisutu leo Jumatatu Oktoba 07/2024 imekubaliana na hoja za utetezi kuhusu pingamizi la kutopatiwa dhamana lililokuwa limewekwa na Jamhuri dhidi ya aliyekuwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni na baadaye Ubungo, Dar es Salaam Boniface Jacob (Boni Yai), hivyo Mwanasiasa huyo amepatiwa dhamana inayoendana na masharti yatakayowekwa kwenye shauri la msingi, ambalo sasa linaendelea.

Maamuzi hayo madogo ndani ya kesi ya msingi yametangazwa Mahakamani hapo na Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam ambapo shauri hilo lililetwa Mahakamani hapo kwa ajili ya kusomwa hukumu ya kesi ndogo ndani ya kesi ya msingi.

Soma Pia

 
Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam anayesikiliza kesi hiyo anatarajiwa kusoma hukumu ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Boniface Jacob (Boni Yai).

Ingawa mashtaka yanayomkabili yana dhamana, lakini tangu aliposomewa mashtakata yanayomkabili, Septemba 19, 2024, dhamana yake imekuwa kizungumkuti kutokana na maombi yaliyotolewa na Serikali ya kuzuia dhamana yake.

Boni Yai anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Soma Pia

Tutafika tuu!
 
Hakimu mkazi Mkuu Franco Kiswaga wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam anayesikiliza kesi hiyo anatarajiwa kusoma hukumu ndogo ndani ya kesi ya msingi inayomkabili Boniface Jacob (Boni Yai).

Ingawa mashtaka yanayomkabili yana dhamana, lakini tangu aliposomewa mashtakata yanayomkabili, Septemba 19, 2024, dhamana yake imekuwa kizungumkuti kutokana na maombi yaliyotolewa na Serikali ya kuzuia dhamana yake.

Boni Yai anakabiliwa na kesi ya uchapishaji taarifa za uongo kwenye mitandao ya kijamii ambayo upelelezi wake bado haujakamilika.

Soma Pia

saa zingine ukaidi na kiburi bana, vina gharama ambayo ni very useless kama hivi yaan 🐒
 
saa zingine ukaidi na kiburi bana, vina gharama ambayo ni very useless kama hivi yaan 🐒
Huo ndio uanaume! Mandela alikuwa chifu,Makaburu wa south Africa walimwambia aachena na siasa akakataa,Lhadi Leo japo alikufa angalia skinena,viva mashujaa,viva wapambanaji,viva waungwana wenye kukubali ukweli!
 
Huo ndio uanaume! Mandela alikuwa chifu,Makaburu wa south Africa walimwambia aachena na siasa akakataa,Lhadi Leo japo alikufa angalia skinena,viva mashujaa,viva wapambanaji,viva waungwana wenye kukubali ukweli!
nadhan hapakua na sababu hata moja ya kufikia huku,

but sawa,
kama kukosa hekima na busara, na kuendekeza kiburi, ujeuri na ukaidi ndio uanaume, basi hakuna haja ya kutia huruma, ni kukomaa tu kiume maana hakua faida wala maana yoyote sasa dah!🐒
 
nadhan hapakua na sababu hata moja ya kufikia huku,

but sawa,
kama kukosa hekima na busara, na kuendekeza kiburi, ujeuri na ukaidi ndio uanaume, basi hakuna haja ya kutia huruma, ni kukomaa tu kiume maana hakua faida wala maana yoyote sasa dah!🐒
Mi sioni alipotia huruma Wala hicho kiburi chake!Atatoka tuu,hayo kwa mwanaume ni kawaida hasa ukisoma vitabu vya dini utaelewa kati ya wema na uovu,wema hushinda kama vile tulivyopata Uhuru, Nyerere mwenyewe alipingwa katika kudai Uhuru,wengi wao waliogopa kukosa kazi na vibarua kwa wazungu!Haya mambo hatuyaogopi wapambanaji!Ndio maana kuna bendera za nchi zina damu.!,Hata Yesu alimwaga damu.Vivs boni yai ,viva wapambanaji.Tutafika tuu.
 
Mi sioni alipotia huruma Wala hicho kiburi chake!Atatoka tuu,hayo kwa mwanaume ni kawaida hasa ukisoma vitabu vya dini utaelewa kati ya wema na uovu,wema hushinda kama vile tulivyopata Uhuru, Nyerere mwenyewe alipingwa katika kudai Uhuru,wengi wao waliogopa kukosa kazi na vibarua kwa wazungu!Haya mambo hatuyaogopi wapambanaji!Ndio maana kuna bendera za nchi zina damu.!,Hata Yesu alimwaga damu.Vivs boni yai ,viva wapambanaji.Tutafika tuu.
azidishe kiburi, jeuri na ukaidi sasa ili imsaidie zaidi kupata huruma zaid ya chadema 🐒
 
Mahakama zetu zinakwenda kama alivyosema bwana Rostam Aziz maelekezo na simu kwa mwendo huo tusitegemee wawekezaji makini kutokana na undumilakuwili wa wenye madaraka wale wabishi wanachukua tahadhari ya migogoro ya kibiashara kuipeleka mahakama za nje mara zote tumekuwa tukiangukia put kama nchi.
 
Back
Top Bottom